pascaldaudi
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 534
- 96
Wenye viwango duni utawajua tu!Kila soko halikosi machizi!
Kwani tatizo ni nini? Unachangia bila kusoma....mara oooh jf mods wanachuki kumbe ni nyie wenyewe..
Ni kweli kabisa, nadhani watakuwa makini ktk hili maaana CCM wamepeleka vigogo wao woooteeeeee!!! kasoro tu rafiki yangu, baba yetu "mgosi" sijui wanaogopa asije akaropoka.......! au kawagomea na ufisadi wao!!Chadema wakiwa ngangari kwenye kuhesabu na kulinda masanduku ya kura vituo vyote hapo watakuwa wamethibiti uchakachuaji!!
mods anatukana huyu tunaomba umpunzishe miezi miwili hapa sio club ya kunywa mnaziKila soko halikosi machizi!
Ni kweli kabisa, nadhani watakuwa makini ktk hili maaana CCM wamepeleka vigogo wao woooteeeeee!!! kasoro tu rafiki yangu, baba yetu "mgosi" sijui wanaogopa asije akaropoka.......! au kawagomea na ufisadi wao!!
Kila soko halikosi machizi!
mods anatukana huyu tunaomba umpunzishe miezi miwili hapa sio club ya kunywa mnazi
kimadrasa- madrasa
Kila soko halikosi machizi!
Kila soko halikosi machizi!
Umekosea ku-type najua ulikuwa unamaanisha "Mkuu mimi ni punguani"Mkuu mimi ni Mpagani, hayo mambo yenu peleka jukwa la dini
Kila soko halikosi machizi!