Mshaanza kubadilisha gia angani taratibu, kutoka kwenye msemo wa yanga anapigwa na timu kubwa hal hilal ndo mwisho wao mmerudi kwrnye yanga amehonga kushinda mechi[emoji1787][emoji1787] tulieni na iyo timu yenu mnayopambana ipate ushindi mbele ya yanga mliyosema ni dhaifu, tena ni bora msije uwanjani maana mtaaibika vibaya