Kumbe Kenya wana SGR Train kali kuliko Tanzania

Kumbe Kenya wana SGR Train kali kuliko Tanzania

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Ebwana eeh leo ndio nimeshituka kuona Kenya wana SGR kali kuliko Bongo. Katika pitapita zangu mjini Instagram nikakutana na post ya mdada mmoja mkenya anaelezea maisha ya utalii, gafla nikaona anaingia kwenye SGR train, kuona rangi ya behewa nikajua ni zile SGR zetu lakini wahudumu kidogo rangi zao zikanichanganya.

Kucheki bango la terminal limeandikwa Nairobi, nikadata, kuangalia ndani daraja la juu la Treni ni kama kwenye ndege. Terminal yao ya Treni imekaa kisasa.

Na unaambia SGR Train ya Kenya imeanza kujengwa mwaka 2017 na route yake ni kutoka Nairobi kwenda Mombasa. Ila sisi wabongo nyoso tunajitapa na SGR yetu kumbe majirani wana mashine kali ila wamechagua kukaa kimya.

 
Ebwana eeh leo ndio nimeshituka kuona Kenya wana SGR kali kuliko Bongo. Katika pitapita zangu mjini Instagram nikakutana na post ya mdada mmoja mkenya anaelezea maisha ya utalii, gafla nikaona anaingia kwenye SGR train, kuona rangi ya behewa nikajua ni zile SGR zetu lakini wahudumu kidogo rangi zao zikanichanganya. Kucheki bango la terminal limeandikwa Nairobi, nikadata, kuangalia ndani daraja la juu la Treni ni kama kwenye ndege. Terminal yao ya Treni imekaa kisasa. Na unaambia SGR Train ya Kenya imeanza kujengwa mwaka 2017 na route yake ni kutoka Nairobi kwenda Mombasa. Ila sisi wabongo nyoso tunajitapa na SGR yetu kumbe majirani wana mashine kali ila wamechagua kukaa kimya.

View attachment 3131739
Wakenya siku nyingi ,ila ww ndo hauna taarifa na huku jf wote tunajua SGR ya Kenya ,, na viwango vyao tunavijua nashangaa ww umetokea wap
 
Ebwana eeh leo ndio nimeshituka kuona Kenya wana SGR kali kuliko Bongo. Katika pitapita zangu mjini Instagram nikakutana na post ya mdada mmoja mkenya anaelezea maisha ya utalii, gafla nikaona anaingia kwenye SGR train, kuona rangi ya behewa nikajua ni zile SGR zetu lakini wahudumu kidogo rangi zao zikanichanganya. Kucheki bango la terminal limeandikwa Nairobi, nikadata, kuangalia ndani daraja la juu la Treni ni kama kwenye ndege. Terminal yao ya Treni imekaa kisasa. Na unaambia SGR Train ya Kenya imeanza kujengwa mwaka 2017 na route yake ni kutoka Nairobi kwenda Mombasa. Ila sisi wabongo nyoso tunajitapa na SGR yetu kumbe majirani wana mashine kali ila wamechagua kukaa kimya.

View attachment 3131739
Mkuu hii clip ndio imekufanya ufikie hitimisho na ulinganishe na SGR ya Tanzania.

Mi nakuomba ukachunguze tena zaidi kwa kuzingatia vigezo vyote.
 
Ebwana eeh leo ndio nimeshituka kuona Kenya wana SGR kali kuliko Bongo. Katika pitapita zangu mjini Instagram nikakutana na post ya mdada mmoja mkenya anaelezea maisha ya utalii, gafla nikaona anaingia kwenye SGR train, kuona rangi ya behewa nikajua ni zile SGR zetu lakini wahudumu kidogo rangi zao zikanichanganya. Kucheki bango la terminal limeandikwa Nairobi, nikadata, kuangalia ndani daraja la juu la Treni ni kama kwenye ndege. Terminal yao ya Treni imekaa kisasa. Na unaambia SGR Train ya Kenya imeanza kujengwa mwaka 2017 na route yake ni kutoka Nairobi kwenda Mombasa. Ila sisi wabongo nyoso tunajitapa na SGR yetu kumbe majirani wana mashine kali ila wamechagua kukaa kimya.

View attachment 3131739
Upo nje ya wakati hayo mabehewa yameletrwa majuzi tu sgr yao siyo kari reli aijachomew yote ni nginja nginja train ...hayo mebehewa yasikuchanganye akili
 
Nimependa mrembo anavyofurahia maisha ase. Lazima nilipe hii!
 
Ebwana eeh leo ndio nimeshituka kuona Kenya wana SGR kali kuliko Bongo. Katika pitapita zangu mjini Instagram nikakutana na post ya mdada mmoja mkenya anaelezea maisha ya utalii, gafla nikaona anaingia kwenye SGR train, kuona rangi ya behewa nikajua ni zile SGR zetu lakini wahudumu kidogo rangi zao zikanichanganya. Kucheki bango la terminal limeandikwa Nairobi, nikadata, kuangalia ndani daraja la juu la Treni ni kama kwenye ndege. Terminal yao ya Treni imekaa kisasa. Na unaambia SGR Train ya Kenya imeanza kujengwa mwaka 2017 na route yake ni kutoka Nairobi kwenda Mombasa. Ila sisi wabongo nyoso tunajitapa na SGR yetu kumbe majirani wana mashine kali ila wamechagua kukaa kimya.

View attachment 3131739
Hapo si maigizo tu
Umeona huyo dada alivyolembua jicho la kicokozi?
 
Back
Top Bottom