Kumbe Kenyatta alibeba watu wa kumshangilia

Kumbe Kenyatta alibeba watu wa kumshangilia

MAO

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2008
Posts
262
Reaction score
131
Jana wakati Uhuru Kenyatta anaapishwa kuwa Rais wa Kenya kwa kipindi kingine, uwanja wa Kasarani ulikua umejaa pomoni. Lakini imebainika kuwa wengi wa waliohudhuria waliletwa kutoka nje ya Nairobi ili kuondoa aibu ya kuwa na watu wachache uwanjani. Aibu sana.
 
Sasa bro mbona ata mpira mashabiki wanatoka sehemu tofauti kuja shangilia .....shangilio ni kitu cha kawaida we ujawai ona ata barabarani wanapita watu ambao hawajulikani mtaani kwenu lkn wanaweza pata shangilio.
 
Mkuu hukuona watu walivyojaza uwanja na wengine waliokosa nafasi wakapigwa mabomu ya machozi ili kuwatawanya? [emoji15][emoji15]
 
No right in Africa
No democracy in Africa
No safety in Africa
What is in Africa?
 
Jana wakati Uhuru Kenyatta anaapishwa kuwa Rais wa Kenya kwa kipindi kingine, uwanja wa Kasarani ulikua umejaa pomoni. Lakini imebainika kuwa wengi wa waliohudhuria waliletwa kutoka nje ya Nairobi ili kuondoa aibu ya kuwa na watu wachache uwanjani. Aibu sana.
hata mimi kuna kutu kili-click kichwani mwangu baada ya kuona ile hype waliyokuwa nayo wale watu....nilijua tu kuna mipango ilifanyika maana sio kwa kushangilia kule.
 
hata mimi kuna kutu kili-click kichwani mwangu baada ya kuona ile hype waliyokuwa nayo wale watu....nilijua tu kuna mipango ilifanyika maana sio kwa kushangilia kule.
Haahah...wamezoea kubeba watu hadi kwa campaign zao...bure kabisa
 
Hehehe!! Jamaa amekimbilia kuanzisha uzi hadi ungedhani Waganda au Watanzania ndio walikusanywa na kuletwa Nairobi, kumbe ni Wakenya wa kutokea Kenya walikusanyika kuhudhuria uapisho wa rais wa Kenya kwa ajili ya Wakenya.
Sijaelewa alikuwa na maana gani, kwa sababu huyu ni rais wa wakenya wote popote pale walipo iwe Mombasa, Kisumu, Kericho, au kule Garisa, na pia hii inaonyesha mshikamano na umoja kwa wakenya wote
 
Angekuwa Magufuli tungesema analamisha kupendwa.!

Hatukawii kuhamisha Magoli.
Tofautisha kuapishwa (shughuli ya kitaifa) na kwenda kuzindua lile daraja la Mwanza, nafikiri unajua kuwa kwa shughuli za kitaifa kama siku ya uhuru watu utoka pande zote za taifa, hakuna anayeza kulalamika katika hili
 
Back
Top Bottom