Kumbe kinshasa imejengeka na kupangika vyema kuliko Dar?

Kumbe kinshasa imejengeka na kupangika vyema kuliko Dar?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Kuna jamaa yangu ameenda Kinshasa kwa shughuli zake.sasa kanirushia picha za huo mji,ebana kumbe Kinshasa iko vizuri kuliko miji mingi tu hapa Africa ikiwemo Dar yetu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230613-172312_Facebook.jpg
    Screenshot_20230613-172312_Facebook.jpg
    112.5 KB · Views: 11
Kuna jamaa yangu ameenda Kinshasa kwa shughuli zake.sasa kanirushia picha za huo mji,ebana kumbe Kinshasa iko vizuri kuliko miji mingi tu hapa Africa ikiwemo Dar yetu.
Ukitembelea suburbs ndio utalia. Kila mkongomani anakuja kinshasa na kuishi mabondeni na milimani vijumba vya ajabu. Yakija mafuriko wanasombwa kama karatasi hadi huruma. Ila downtown kumejengwa vizuri plan ya miji ya ubeljiji.
 
Bongo maneno mengi ilihali mambo ya kawaida kabisa. Mwendazake alijaribu kuiboresha kwa kujenga barabara za juu, stendi za kisasa na upanuzi wa barabara mkaanza kelele.

majiji ya Tanzania yanahitaji big renovation projects.
Ni ushamba kuzani barabara za juu na madaraja ya baharini yanafanya mji kuwa mzuri.
 
Bongo maneno mengi ilihali mambo ya kawaida kabisa. Mwendazake alijaribu kuiboresha kwa kujenga barabara za juu, stendi za kisasa na upanuzi wa barabara mkaanza kelele.

majiji ya Tanzania yanahitaji big renovation projects.
Msukuma utamjua tu ....hakuna project mpya aliyoanzisha yeye amekuta mipango yote tayari....ametekeleza tu.....mpango mpya ni daraja la busisi tu...familia mambo.
 
Msukuma utamjua tu ....hakuna project mpya aliyoanzisha yeye amekuta mipango yote tayari....ametekeleza tu.....mpango mpya ni daraja la busisi tu...familia mambo.
Hao wengine ilikuaje wakashindwa kutekeleza ?
 
Dar inahitaji proper planning na utashi WA kisiasa, watu wanauzia bidhaa chini uzuri WA mji utaonekana wapi!?
 
Dar kuna sehemu unaweza sema sio dar nyumba zilivyochoka halafu hazina mpangilio mzuri yani ningekua rais huu mji ungekua na ghorofa tu na hakuna kumkomoa raia hela ya kupanga ingekua ya kawaida tu ila kama ukitaka kujenga nyumba ya chini labda ukajenge nje ya mji huko,hawa wazungu waliwezaje sisi tushindweView attachment 2656739
View attachment 2656740
View attachment 2656741
 
Bongo maneno mengi ilihali mambo ya kawaida kabisa. Mwendazake alijaribu kuiboresha kwa kujenga barabara za juu, stendi za kisasa na upanuzi wa barabara mkaanza kelele.

majiji ya Tanzania yanahitaji big renovation projects.
😂😂😂😂
Barabara za juu kumbe zilianza kujengwa na mwendazake, haya jamani tudanye ilikuwa hivyo na maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom