Kumbe kuacha pombe inawezekanika

Kumbe kuacha pombe inawezekanika

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Ebana najivunia kutimiza mwezi wa 3 leo bila kuonja pombe mdomoni mwangu. Nimegundua kampani za washkaji zinachangia sana mtu kuendekeza ulevi.

Nilikua na kampani moja ilikua kila weekend tunaamkia pombe asee..wife akaongea wee mwishowe akaamua kujikalia kimya.

Siku nikaamua kuchukua maamuzi magumu na nikakata ile chain ya wale washikaji na sasa ni miezi mitatu sijagusa pombe.

Faida nilizozipata tangu niache pombe ni pamoja na kupata muda mwingi kuwa na familia yangu,afya ya akili inakua sawa muda wote,ufanisi katika shughuli zangu za kila siku pamoja na kufanya saving ya kipato changu.

Asanteni.

Soma Pia: Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe
 
Ebana najivunia kutimiza mwezi wa 3 leo bila kuonja pombe mdomoni mwangu.
Nimegundua kampani za washkaji zinachangia sana mtu kuendekeza ulevi.
Nilikua na kampani moja ilikua kila weekend tunaamkia pombe asee..wife akaongea wee mwishowe akaamua kujikalia kimya.
Siku nikaamua kuchukua maamuzi magumu na nikakata ile chain ya wale washkaji na sasa ni miezi mitatu sijagusa pombe.
Faida nilizozipata tangu niache pombe ni pamoja na kupata muda mwingi kuwa na familia yangu,afya ya akili inakua sawa muda wote,ufanisi ktk shughuli zangu za kila siku pamoja na kufanya saving ya kipato changu.
Asanteni
Tumempoteza mwanachama🙇🏿‍♂
20240904_234347.jpg
 
Ebana najivunia kutimiza mwezi wa 3 leo bila kuonja pombe mdomoni mwangu. Nimegundua kampani za washkaji zinachangia sana mtu kuendekeza ulevi.

Nilikua na kampani moja ilikua kila weekend tunaamkia pombe asee..wife akaongea wee mwishowe akaamua kujikalia kimya.

Siku nikaamua kuchukua maamuzi magumu na nikakata ile chain ya wale washikaji na sasa ni miezi mitatu sijagusa pombe.

Faida nilizozipata tangu niache pombe ni pamoja na kupata muda mwingi kuwa na familia yangu,afya ya akili inakua sawa muda wote,ufanisi katika shughuli zangu za kila siku pamoja na kufanya saving ya kipato changu.

Asanteni.

Soma Pia: Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe
Umeandika kilevi levi mwandiko mbayaaaa
 
Ebana najivunia kutimiza mwezi wa 3 leo bila kuonja pombe mdomoni mwangu. Nimegundua kampani za washkaji zinachangia sana mtu kuendekeza ulevi.

Nilikua na kampani moja ilikua kila weekend tunaamkia pombe asee..wife akaongea wee mwishowe akaamua kujikalia kimya.

Siku nikaamua kuchukua maamuzi magumu na nikakata ile chain ya wale washikaji na sasa ni miezi mitatu sijagusa pombe.

Faida nilizozipata tangu niache pombe ni pamoja na kupata muda mwingi kuwa na familia yangu,afya ya akili inakua sawa muda wote,ufanisi katika shughuli zangu za kila siku pamoja na kufanya saving ya kipato changu.

Asanteni.

Soma Pia: Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe
Kwa miezi mitatu Umejitaidi Ila bado endeleza maombi kwa Imani yako maana niliwai kukaa miezi 7 bila kuweka pombe mdomoni na nilimshukuru Sana MUNGU nikasahau kuwa Shetani yupo kazini kila wakati.. Ikatokea Harusi ya bro sasa kuanzia send off mpaka harusi daaaaaaa nikajikuta nimerud kundini
 
Ebana najivunia kutimiza mwezi wa 3 leo bila kuonja pombe mdomoni mwangu. Nimegundua kampani za washkaji zinachangia sana mtu kuendekeza ulevi.

Nilikua na kampani moja ilikua kila weekend tunaamkia pombe asee..wife akaongea wee mwishowe akaamua kujikalia kimya.

Siku nikaamua kuchukua maamuzi magumu na nikakata ile chain ya wale washikaji na sasa ni miezi mitatu sijagusa pombe.

Faida nilizozipata tangu niache pombe ni pamoja na kupata muda mwingi kuwa na familia yangu,afya ya akili inakua sawa muda wote,ufanisi katika shughuli zangu za kila siku pamoja na kufanya saving ya kipato changu.

Asanteni.

Soma Pia: Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe
Alcohol free since 01/01/2024.
 
Apa jirani kuna jamaa aliacha pombe kwa mudaaa .. siku arosto ilimjia ghaflaaaa akanywa idadi ya glass ambazo hajawahi kunywa. Adi leoo anaendeleza ila ameamuaa piga glass/bilauri mbili tu za wine per day before and after meal
 
Back
Top Bottom