VINICIOUS JR
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 208
- 518
Hii kitu inauma sana, yaani kitu unaiona kabisa halafu demu anakaza serious duh sio poa yaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaa yan we acha tu ila hawa wanawake *****Inauma zaidi akiwa amekula na vichenchi vyako na ukoko wako geto.
Kama vipi maumivu yakizidi muone DR Mambo Jambo
Mwanzo mgumu boss akija mara moja akikolewa kila siku atakujahii kitu inauma sanaa, yan kitu unaiona kabsa af dem anakaza serious duh sio poa yan
kaka kaja ghetto kakaza sijala sijui atafka tena mana yey kanambh atakuja ila siamin ningekula ningeaminMwanzo mgumu boss akija mara moja akikolewa kila siku atakuja
Ila itakuja kukuuma kupita maelezo akiamua kuchanua miguu ukajitwalia MIWAYA.Inauma zaidi akiwa amekula na vichenchi vyako na ukoko wako geto.
Kama vipi maumivu yakizidi muone DR Mambo Jambo
Mbaya hiyo bora akaze tu.Ila itakuja kukuuma kupita maelezo akiamua kuchanua miguu ukajitwalia MIWAYA.
Kama Nyerere alivomkazia mzunguMbaya hiyo bora akaze tu.
mpotezeekabisaa yan we acha tu ila hawa wanawake *****
Shukuru Mungu huwezi kujua kakuepusha na nini..hii kitu inauma sanaa, yan kitu unaiona kabsa af dem anakaza serious duh sio poa yan
Kabisa miwaya sio poa kabisa.Kama Nyerere alivomkazia mzungu
Siku ingine akija, mle tiGohii kitu inauma sanaa, yan kitu unaiona kabsa af dem anakaza serious duh sio poa yan
Shukuru ungelikutana na maajabuHayo ni matumizi mabaya ya maumivu, yani kweli unaumia kisa demu kakuepusha na kisonono sugu?