Kumbe kumuita demu gheto halafu akukazie inauma hivi?

๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mwanamke akiona umefanikiwa kimaisha atakuwa mnyenyekevu, ukiona ana jeuri na sio msikivu ujuwe haupo level ya mwenye hela.
Ukweli ๐Ÿ’ฏ kk,
Ukiw regular boy hawez pata utuvu kwa wanawake hadi vile akil yake itamtuma na atakuchukulia normal
 

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ huyu dem wa maana sana
 
Wew ulikutan na janja widi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Wewe mvumilivu sana, unahangaika na mwanamke utadhani kuna malipo utapata, Dompo ulikunywa mwenyewe?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikukomeshaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo tu!??? Mbona simple.
Hiv wewe ushawahi kukod mpaka chumba Lodge halaf manzi akatokomea na ya kutolea ushatuma, na nidemu wako sio tu malaya wa kuokoteza?
 
Mwanamke akiona umefanikiwa kimaisha atakuwa mnyenyekevu, ukiona ana jeuri na sio msikivu ujuwe haupo level ya mwenye hela.
Hyo ni kweli imenitokea nilikialika kidemj geto jpili fln bas akafika akagoma liwa nais alizaru geto. Langu Kumbe hajui mm nimejishegesha kimtindo pale siku akaja dukani kwangu kununua kifaa fln eti ananimbiaa Acha ubahili nikamuambia kwan. Akasema una duk kubwa alfu unatkaa geto ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ