Kumbe kumuua kiongozi wa nchi au kuindoa Serikali madarakani ndio uhaini

Kumbe kumuua kiongozi wa nchi au kuindoa Serikali madarakani ndio uhaini

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2023
Posts
930
Reaction score
1,304
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI?

Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka KUINDOA Serikali iliyopo Madarakani.

Je, hao wanaotaka kushtakiwa wamefanya Makosa hayo ?Ngoja tusubiri.

1180698316.jpg
 
Back
Top Bottom