MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI?
Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka KUINDOA Serikali iliyopo Madarakani.
Je, hao wanaotaka kushtakiwa wamefanya Makosa hayo ?Ngoja tusubiri.
Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka KUINDOA Serikali iliyopo Madarakani.
Je, hao wanaotaka kushtakiwa wamefanya Makosa hayo ?Ngoja tusubiri.