M MKWEAMINAZI JF-Expert Member Joined May 28, 2023 Posts 930 Reaction score 1,304 Aug 14, 2023 #1 Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI? Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka KUINDOA Serikali iliyopo Madarakani. Je, hao wanaotaka kushtakiwa wamefanya Makosa hayo ?Ngoja tusubiri.
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI? Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka KUINDOA Serikali iliyopo Madarakani. Je, hao wanaotaka kushtakiwa wamefanya Makosa hayo ?Ngoja tusubiri.