Kumbe kuna hadi Mwanya wa mchongo? Wadada sasa wamezidi

Kumbe kuna hadi Mwanya wa mchongo? Wadada sasa wamezidi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Nilishangaa nilipokutana na mdada ambae tunajuana miaka na miaka, leo nashangaa ana mwanya, khaa, haya kautoa wapi? Wanachonga meno au wanatanua? Lakini pia wanatafuta nini?
 
Back
Top Bottom