Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi huwa nachukia pombe na sigara sasa leo nimehisi halufu ya sigara mzuri achana na hizi wanazo vuta vijiwe vya kahawa je hizi hazi madhara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona upako wakuchukia pombe umekushukia mzee wa vizinga
Na hazina madharaEmbassy special filter(double button)
Flavour(mint,apple)
Price(1=500/=)(club,bar 1500/=)
SPORT/SM..
HowDouble click 🥳
Ndio mkuu hapa nabadili kijiwe mwelekeo kidimbwiMzee wa wavuvi kempu leo unachukia vilevi 🤣
Huyu kijana inaonekana beki hazikabi kabisa!Mzee wa wavuvi kempu leo unachukia vilevi [emoji1787]
🤣 Asije akawa ameleft grupu tu huo ndio wasiwasi wangu mkubwaHuyu kijana inaonekana beki hazikabi kabisa!
Hebu muulize bana, maana mimi pia niko na wasiwasi huo![emoji1787] Asije akawa ameleft grupu tu huo ndio wasiwasi wangu mkubwa
Dah nimecheka aseSasa kama kuna kondom zinanukia strawbery, ndizi na machungwa watashindwa nini kutengeneza sigara zenye harufu ya pipi? Watengeneze hata zenye harufu za pafyumu
Mimi huwa nachukia pombe na sigara sasa leo nimehisi halufu ya sigara mzuri achana na hizi wanazo vuta vijiwe vya kahawa je hizi hazi madhara?
Winston light hiyoMimi huwa nachukia pombe na sigara sasa leo nimehisi halufu ya sigara mzuri achana na hizi wanazo vuta vijiwe vya kahawa je hizi hazi madhara?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee wa wavuvi kempu leo unachukia vilevi 🤣
Nikajua kidogo zina unafuuSigara ni sigara tu, hizo harufu ni kupumbaza tu watu wavutike kuvuta sigara