Nimebaini kuna idadi ya walimu wanaofanya kazi ya kuendesha pikipiki(boda boda) ili kuingiza kipato. Ayo nimeyabaini wiki iliyopita Musoma baada ya kukodi pikipiki na kubaini dreva wangu ni mwalimu by proffesional.
Baada ya kumdadisi kwa undani akanieleza wapo si chini ya walimu 9 (primary na sekondari) wanaofanya kazi ya bodaboda, na sababu kubwa ni kipato kidogo wanachopata kwenye mishahara yao.
Na shughuli iyo imekuwa ikifanyika ata muda wanaokatakiwa kuwepo madarasani.
Je kuna mwanaJF mwenye kujua kuhusu lolote kwenye mikoa mingine?
Baada ya kumdadisi kwa undani akanieleza wapo si chini ya walimu 9 (primary na sekondari) wanaofanya kazi ya bodaboda, na sababu kubwa ni kipato kidogo wanachopata kwenye mishahara yao.
Na shughuli iyo imekuwa ikifanyika ata muda wanaokatakiwa kuwepo madarasani.
Je kuna mwanaJF mwenye kujua kuhusu lolote kwenye mikoa mingine?