mbona mnatufatafata walimu jamani. Fanyeni yenu elimu na ualimu tuachieni sisi na serikali tutamalizana kiutu uzima. Wamemwaga ugali sisi tunajua tufanyeje. Chezea mwl ww
sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
kudadadeki.......!!!!!!
Mwenyewe mwalimu,bodaboda napiga kama kawa!Ninazo kama 5,moja naendesha mwenyewe!asubuh na wahi kusign then there after natafuta vichwa!Kazi tumeacha tumebaki na ajira!Kwani JK na Pinda si walisema tuache kazi kama haturidhiki na mishahara?Ndiyo kazi tumeacha,tumebaki na ajira zetu mpaka hapo serikali itakapotusikiliza.
Daffi upo mkoa gani? je unawafahamu walimu wangapi uko kwenu wanaofanya kazi ya boda boda kama wewe.
sio ya kwamba nakupeleleza upo wapi,nafanya kautafiti kuhusu hili jambo la walimu kuwa bodaboda,nataka kujua lina ukubwa gani apa nchini na mikoa gani limekithiri zaidi,anyway thanks kwa kunipa general picture ya kwamba ni wengiHahaha!ukute unanipeleleza!Mkoa achana nao!but walimu wako wengi sana!niko nao kitaa sa hv tunasubiri vichwa!Ya mbayuwayu changanya na zako.
Si bodaboda tu hata walimu madeiwaka wa daladala wapo. wanafanya kazi jioni hadi wakati wa kurudisha gari. ni kweli kwa namna hii elimu itashuka maana muda kama huu mwlimu angeweza kuwa anaandaa smo lake
shida ni walimu kufanya kazi ya boda boda muda wa kazikaka mimi sishangai ninaona hakuna shida. Misri maafisa wa benki wanaendesha tax baada ya kazi wengi tu
hebu fatilia zaidi inasemekana idadi ya walimu bodaboda ni karibu kila mkoa,na wanafanya kazi iyo ata muda wa kazihapa moro. kuna zaidi ya polisi 10 na mmoja ni v3 na wawili nyota 1. kuna wanajeshe jwtz zaidi ya 5 niowafahamu siowalim