Kumbe Kusajiliwa kwa Mzungu Kikosoni ni Sharti Kuu la Mganga Mpya Tanga na Mombasa? Basi sawa sina Neno tena nimekubaliana nanyi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimefurahi pia Kusikia kuwa mmeachana rasmi na Yule Mganga wetu wa Kisiwani Zanzibar ambaye Kiukweli alitusaidia mno ndani ya ile Miaka Minne mfululizo ya kuwa Mabingwa, ila mwaka jana ( Msimu ) uliomalizika hivi karibuni tu amekuwa akitusaliti sana baada ya Kuchukua Hela nyingi za Yanga SC ( hasa Mfadhili GSM ) na Kutuharibia Simba SC yetu katika Ligi Kuu na Mashindano.ya Kimataifa.
 
Kwani mikia mlikuwa mnatumia mbinu gani ndani ya hiyo miaka minne, kati ya kununua marefa na wachezaji wa timu pinzani au kutumia ulozi?
 
Kwani mikia mlikuwa mnatumia mbinu gani ndani ya hiyo miaka minne, kati ya kununua marefa na wachezaji wa timu pinzani au kutumia ulozi?
Both Bribing and Witchcraft my Chief.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…