[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mbona hueleweki bwashee, hata mwandiko hausomeki vizuri, ina maana hajui hata kupangilia mwandiko?
Maana yake akishindwa kutongoza kwa kuongea basi atongoze kwa kuandika text au acharaze kwa kalamu, au aombe msaada wa kuanfikiwa kama hajui kupanga mistari 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kwan mapenzi, kutongoza kunahusiana vipi na wmwandiko!?
Kwamba Binti haelewi jamaa akituma text au??
NaamWakijua una hela we unaita tu unakula mzigo hayo mambo ya kusumbuana huo muda unautoa wapi weka mazingira sawa omba mechi hataki futa namba angalia mwingine.