Kumbe kweli halali kambini Avic Town, huchukuliwa na Alphard tinted

Kumbe kweli halali kambini Avic Town, huchukuliwa na Alphard tinted

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hakuna kitu kibaya katika team kama kumfanya mchezaji mmoja kuwa special, na cha kushukuru ni kwamba wale wacongo watatu wameongezewa mkataba na pesa la sivyo.

Anyway yule kijana toka Ogadougou Burkinabe msimamo wake wa kutolala kigamboni kaushikilia bwana..analetwa mazoezin na Alphard tinted na akimaliza anaondoka nalo

Kingine ni sharti lake la kumbakiza yacouba sogne, watu wasije wakshangaa Moloko au makambo mmojawapo kupigwa panga ili kutokumuudhi poster boy

Yacouba ndiye anampa 411 kuhusu uchawi uliopo kambini wa watu kuibiana soksi, leso,boxer na kupeleka kwa waganga kuwapa wenzao majeraha na kuwachoresha kama ilivyotokea kwa sarpong au yeye mwenyewe sogne

Kazi ipo lakini atleast wacongo wanaoogopeka washashikishwa chambichambi wale wabongo wenzangu na mimi kaeni kwa kutulia
 
Hii nilianza kuiskia kwenye "hili game" clouds fm kijiwe cha kahawa nikajua mambo ya utani wa jadi.
 
Hakuna kitu kibaya katika team kama kumfanya mchezaji mmoja kuwa special, na cha kushukuru ni kwamba wale wacongo watatu wameongezewa mkataba na pesa la sivyo.

Anyway yule kijana toka Ogadougou Burkinabe msimamo wake wa kutolala kigamboni kaushikilia bwana..analetwa mazoezin na Alphard tinted na akimaliza anaondoka nalo

Kingine ni sharti lake la kumbakiza yacouba sogne, watu wasije wakshangaa Moloko au makambo mmojawapo kupigwa panga ili kutokumuudhi poster boy

Yacouba ndiye anampa 411 kuhusu uchawi uliopo kambini wa watu kuibiana soksi, leso,boxer na kupeleka kwa waganga kuwapa wenzao majeraha na kuwachoresha kama ilivyotokea kwa sarpong au yeye mwenyewe sogne

Kazi ipo lakini atleast wacongo wanaoogopeka washashikishwa chambichambi wale wabongo wenzangu na mimi kaeni kwa kutulia
Mandonga sana
 
udaku tu
Hakuna kitu kibaya katika team kama kumfanya mchezaji mmoja kuwa special, na cha kushukuru ni kwamba wale wacongo watatu wameongezewa mkataba na pesa la sivyo.

Anyway yule kijana toka Ogadougou Burkinabe msimamo wake wa kutolala kigamboni kaushikilia bwana..analetwa mazoezin na Alphard tinted na akimaliza anaondoka nalo

Kingine ni sharti lake la kumbakiza yacouba sogne, watu wasije wakshangaa Moloko au makambo mmojawapo kupigwa panga ili kutokumuudhi poster boy

Yacouba ndiye anampa 411 kuhusu uchawi uliopo kambini wa watu kuibiana soksi, leso,boxer na kupeleka kwa waganga kuwapa wenzao majeraha na kuwachoresha kama ilivyotokea kwa sarpong au yeye mwenyewe sogne

Kazi ipo lakini atleast wacongo wanaoogopeka washashikishwa chambichambi wale wabongo wenzangu na mimi kaeni kwa kutulia
 
Back
Top Bottom