Hiyo siyo tafsiri, Mungu ni wautaratibu siyo uzinzi kazae hata kumi na mkeo ila ngono nje ya ndoa ni uzinziUpuuzi??. we vipi?? Imeandikwa hivi "Enendeni mkazaane muijaze dunia" wape kasema mkaoane? sasa we unaweza kuijaza dunia kwa mkeo tu??
Kwani uzinzi na madereva ni vitu pacha?Madereva wa lori ndio kiboko wao hata hawaoni hasara kupaki gari wakaenda kushughulika.
We mwenyewe unasemaje!Hiyo siyo tafsiri, Mungu ni wautaratibu siyo uzinzi kazae hata kumi na mkeo ila ngono nje ya ndoa ni uzinzi
Mungu akishakataza kitu mwanadamu hatuna budi kutii na huko ndiko kumpenda MunguWe mwenyewe unasemaje!
Ndoa ya Adam alifungisha padri gani?Mungu akishakataza kitu mwanadamu hatuna budi kutii na huko ndiko kumpenda Mungu
Kwani uzinzi na madereva ni vitu pacha?baadhi yao wanadai wanalipa kisasi maana wake zao wanamegwa sana wakati wao wakiwa safarini.
Alifungisha Mungu Mwenyewe walikuwa wawili tuu dunianiNdoa ya Adam alifungisha padri gani?
Wazee wa kubeba zawadi 😅😅😅 toka mkoaniila nimekafaid sana tuache za utani..
madreva tunapendw sana had mtaani maana tuna hela y uhakika,na tukirud tunabebea madem sato na majunia y mkaa..
mtu akiwa na dem wake afu dem akaniona ghafla anamkimbia msela!acha tufe tuu kwa changamoto ya kinga mwili
kwa hiyo, ndugu kwa ndugu walioana, so nikioa dada yangu ruksaa?Alifungisha Mungu Mwenyewe walikuwa wawili tuu duniani
Wahenga wana msemo usemao lisemwalo lipo kama halipo laja, huwa jamii yetu wanasema jamii ya watu wanaofanya kazi za udereva haswa wa safari ndefu huwa wana tabia za uzinzi sana. Maneno haya yapo mtaani tangu siku nyingi hadi leo yanaongelewa, basi wikiendi iliyopita nilipata nafasi ya kusafiri safari ndefu toka Dar hadi Rock City,Mwanza.
Safari yetu ilikuwa nzuri na tunamshukuru Mungu tulifika salamaa ingawa ni safari ya kuchosha sana.Tuliondoka Dar saa 11.30 na mojawapo wa basi yenye umaarufu kwenye ukanda huo. Nilibahatika kukaa siti za nyuma za basi letu. Tulilipokuwa tunakaribia kuondoka tukiwa tumefunga mikanda yetu akapanda binti mdogo wa miaka kati 18 au 20 hivi, ila yeye hakupata siti ila alikalia ndoo ndogo.
Hapo ndipo kisa chetu kilipoanzia ikapidi nimuulize kulikoni anasafiri mwendo mrefu hivyo na hana siti, yule binti hakuwa na hiyana akaanza kufungua na kusema dereva wetu ndiyo kamwambia hivyo. Mmmh ikabidi nizidi kudadisi zaidi na kumuuliza maswali mengi. Kulikoni akukalishe kwenye ndoo na asikulipie siti? basi kabinti kakazidi kufunguka na kusema dereva wetu ni mpenzi wake na walikuwa wametoka kulala wote gesti moja nyumbani kwao Manyoni, Singida. Walifika saa sita usiku wakaenda kulala wote na amemlipa 30,000/=.Kwa mantiki hiyo huyo binti hakuja kutembea ila kufanya uzinzi na dereva wetu. Inamaana alikaa Dar masaa manne tuu na kisha anarudishwa kwao.
Duuh, kwa mukutadha huo ilinifanya nitafakari mambo mengi sana inawezekanaje dereva aliyepewa heshima ya kazi tena yenye kulinda maisha ya watu, madereva wenzake alichokabidhiwa chenye kumpa ugali yeye na familia yake anafanya upuuzi kama huu. Je hajijui hiyo ni kazi ya heshima sana na ulinzi wa maisha ya watu? Kwa nini anaendekeza ngono na kuacha maadili yake? Ndipo nilipokumbuka huwa watu wanasema madereva ni malaya sana kumbe kweli!ku
Kuna mmoja jirani yangu hapa Ana watotoMadereva wa lori ndio kiboko wao hata hawaoni hasara kupaki gari wakaenda kushughulika.
Kudanganywa nitakupeleka Dar na ahadi za fedhaMabinti nao saa ingine wanajitakia! Acha wakanyagwe tu!
Hawa alitwaliwa ubavuni mwa Adam hivyo si ndugu ila inategemea dini gani kwa wakristo Mungu kakatazacndugu kuoanakwa hiyo, ndugu kwa ndugu walioana, so nikioa dada yangu ruksaa?
Mtuache sie wahuni, mbona nyie mnakesha baa mpaka mwajikojolea. Yaan Mimi nikiwa na hela ya ndom tu kitu mshale, yaan atayekuja mbele yangu ni halali yanguUmalaya ni kipaji kama vipaji vingine na vinaonekana mapema tuu
Huwezi kumpangia mtu matumizi ya sehem zake za Siri
Acha atumie mali yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tumia ni mali yakoYaam
Mtuache sie wahuni, mbona nyie mnakesha baa mpaka mwajikojolea. Yaan Mimi nikiwa na hela ya ndom tu kitu mshale, yaan atayekuja mbele yangu ni halali yangu
Ogopa sana dereva wa lori yani sehemu ya kutembea siku moja anaweza kulala siku tatu njiani kisa tu wanawake.Kuna mmoja jirani yangu hapa Ana watoto
13 kila, kila mtoto na mamake. dah hii Dunia hii wee acha 2
Issuecimetokea last week itakuwaje zamani?Baadhi ya Madereva wanasema hiyo ilikuwa zamani siyo sasa hivi.
KwaniManyoni ndiyo centre ya ku-harbour wasichana kuja kufanya biashara ya ngono?
Tatizo Manyoni Kuna Moto Sana..watu wanafanya ngono sn hiyo wilayaWatoto wa kanda ile wanavutia haswaa yaani ukifika kanda ile unatamani uwabebe wote