Kumbe lisemwalo lipo kweli!

Upuuzi??. we vipi?? Imeandikwa hivi "Enendeni mkazaane muijaze dunia" wape kasema mkaoane? sasa we unaweza kuijaza dunia kwa mkeo tu??
Hiyo siyo tafsiri, Mungu ni wautaratibu siyo uzinzi kazae hata kumi na mkeo ila ngono nje ya ndoa ni uzinzi
 
Wazee wa kubeba zawadi 😅😅😅 toka mkoani
 

Madereva wa lori ndio kiboko wao hata hawaoni hasara kupaki gari wakaenda kushughulika.
Kuna mmoja jirani yangu hapa Ana watoto
13 kila, kila mtoto na mamake. dah hii Dunia hii wee acha 2
 
kwa hiyo, ndugu kwa ndugu walioana, so nikioa dada yangu ruksaa?
Hawa alitwaliwa ubavuni mwa Adam hivyo si ndugu ila inategemea dini gani kwa wakristo Mungu kakatazacndugu kuoana
 
Yaam
Umalaya ni kipaji kama vipaji vingine na vinaonekana mapema tuu

Huwezi kumpangia mtu matumizi ya sehem zake za Siri
Acha atumie mali yake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtuache sie wahuni, mbona nyie mnakesha baa mpaka mwajikojolea. Yaan Mimi nikiwa na hela ya ndom tu kitu mshale, yaan atayekuja mbele yangu ni halali yangu
 
Kuna mmoja jirani yangu hapa Ana watoto
13 kila, kila mtoto na mamake. dah hii Dunia hii wee acha 2
Ogopa sana dereva wa lori yani sehemu ya kutembea siku moja anaweza kulala siku tatu njiani kisa tu wanawake.
 
Mwenyez Mungu awasimamie katika kaz zao
 
Baadhi ya Madereva wanasema hiyo ilikuwa zamani siyo sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…