Kumbe Lulu Michael na Faiza ni mapacha

Mmh kwa lugha tu yupo vizur hatar, English na French anapiga hatar , kuna account mpya anatumia anajiita faiza Sijui movic Nani nani ila najua mdingi wake anaitwa haider , mzee ana mawe hatar halaf maza wake young tuu

faiza fariuk movic

 
Kesi ya Lulu imefika wapi? Tunatakka sheria itende hahi period.

Sio una rest-isha watu in peace afu we unabaki kula raha mitaani.
 
Kesi ya Lulu imefika wapi? Tunatakka sheria itende hahi period.

Sio una rest-isha watu in peace afu we unabaki kula raha mitaani.


Haki gani unayoitaka wewe Ya kanumba Kutembea na mtoto mdogo! Wakati level yake wapo au ?
 
Marehemu nae afunguliwe mashtaka kwa kumbaka lulu


Hahaa sahihi kabisa !
Madem wote hawa mpaka akatembee na katoto ! Kabisa !

Tena 2012 kalikuwa na miaka 17 ni sahihi kwamba marehemu alibaka !
 
Hahaa sahihi kabisa !
Madem wote hawa mpaka akatembee na katoto ! Kabisa !

Tena 2012 kalikuwa na miaka 17 ni sahihi kwamba marehemu alibaka !

Lulu naye angejitetea alikuwa anataka kunibak nikamsukuma katika hali ya kujitetea ndo akaanguka akafa , it could work nadhan , lulu she is innocent bhana , wabongo midomo tu
 
Lulu naye angejitetea alikuwa anataka kunibak nikamsukuma katika hali ya kujitetea ndo akaanguka akafa , it could work nadhan , lulu she is innocent bhana , wabongo midomo tu


Marehem nae alikuwa Fataki !
!
 
Lulu naye angejitetea alikuwa anataka kunibak nikamsukuma katika hali ya kujitetea ndo akaanguka akafa , it could work nadhan , lulu she is innocent bhana , wabongo midomo tu


hujaonekana leo !
Ukija njo uniambie ! Nasikia Millard Ayo ni Punga !
 
hujaonekana leo !
Ukija njo uniambie ! Nasikia Millard Ayo ni Punga !

Mkuu nipo mkoa now , I had a long and busy day, hii ishu niliwahi kuizungumzia mwaka Jana kuhusu Millard ayyo kuwa punga , watu wakabisha sana kwa kuwa tu muonekano wake na upole wake haviendani na mambo machafu anayoyafanya, in short ndio hvyoo , umzaniaye ndiye kumbe siye

Wewe unaweza kuamni yule muigizaji wa bongo movie Mohammed mwikongi aka frank naye ni punga? , ni ngumu kuamini haswaa ukiangalia mwili wake ulivyojazia na swaga za ki gentleman anazotupia kumbe kijana sio , bora angekuwa anakula yan analiwa live, wengine ntarud.
 


Sawa sawa warumi ngoja nilalaeee ! Now tired kinyama ! Si unajua ! Tena
 
Last edited by a moderator:
Sawa sawa warumi ngoja nilalaeee ! Now tired kinyama ! Si unajua ! Tena

Eeh bhna, kesho usikose mapema sana uwahi, tutaanza kuandaa daftar la maudhurio humu jukwaa pendwa, naona maudhurio yanakuwa hafifu kwa baadhi ya wadau humu, Dinazarde , mamakibunju, TATIANA, Heaven on Earth, lusungo, mrembo by nature, Money Stunna, qn of sheba, Evelyn Salt, Matola, Excel na wengine wote , inabid tuwe imara sana kipindi hiki maana kuna baadhi ya watu wamejiunga humu kwa kusudi la kuua jukwaa pendwa, we have to say Big no to this, humu tupo miaka yotee .
 
Last edited by a moderator:


Matola yupo Jela !

Sijui kafungwa wiki ! Hata haileweki ! Muulize lusungo labda anajua sababu hasa !

Ni nn !
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi unanikata stimu bana unatoa muhtasari unasepa hata hutoi umbea....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…