Kumbe madada poa ndo huwa hivi

nyanimzungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2017
Posts
1,204
Reaction score
934
One day nko na my friend night tumetoka kupiga maji taka bar flani hv mitaa ya sinza kipindi hiko ndo nmeingia dar kutoka mkoani bado sijalizoea jiji.tukiwa tunajikongoja kurudi nyumbani jamaa kumbe ananipitisha njia wanayojipanga hao viumbe basi tumejongea tumefika mbele kidogo nashangaa madada kama wawili wanavuka barabara kuja kwetu
Nkashangaa mmoja kanivagaa na makiss kwa shavu langu na yule mwingine kamvaa my friend aisee wale watoto wanajua kupet pet kapombe kote kaliisha akili ikahamia kwenye kitumbua

Nmechoka ntaimalizia baadae
 
kuna wakati muwinda nae huwindwa....target..unaweza furahia kitumbua kilichoungua, ulichokinunua kwa muuzaji...umekula Tumbua amepata alichokitaka...
 
"Karibu mjini mkuu,
Kuwa makini usijerudi Kwa mguu,
Maana papara haitakiwi mji huu,!
 
kuna wakati muwinda nae huwindwa....target..unaweza furahia kitumbua kilichoungua, ulichokinunua kwa muuzaji...umekula Tumbua amepata alichokitaka...
Wale wadada wanajali afya kuliko hata hawa wa uswazi kondomu yenyewe anakuvisha na akiona dushe yako kubwa sana anatia grisi iingie vizuri.wale naamini hawana maradhi ni wachache sana waliopitiwa na greed ya taifa
 
Watu ktk Target zao.... INAONYESHA MLIPITA KWA KUSUDI NA JAMAA YAKO.., ILI UKAPATE CHA KUHADISIA UKIRUDI KWENU. KARIBU MJINI
Ha ha ha ha mm mwenyewe nlikuaga naskia tu kua kuna body sellers nlifurahi kupitishiwa huko nlijifunza mengi sana .wadada weng wazuri tunakutana nao mchana tunatongoza wanakubali tunakula wengine bila hata kujua pekupeku kumbe ktk miongoni mwao na wauza kitimbua wamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…