Kumbe madam Rita na Jackline Mengi (K-Lyn) walikuwa marafiki!!

Kumbe madam Rita na Jackline Mengi (K-Lyn) walikuwa marafiki!!

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
IMG_20170617_062839.jpg

Kizuri kula na mwenzio. Ila mademu mna roho mbaya sana yaani kwenye hela ndo unampindua hadi rafiki yako ili umnyakue bwana ake kisa hela. Sasa madam rita anasota na bss yake itv katimuliwa tbc1 hana hela ya kulipia kisa urafiki mavi. Ndo maana kuna wakati alikuwa analalamika kuna mademu wana PHD (pull her down) ya kunyakua mabwana wa wenzao. Dah ila jacki alimuundia mkakati wa hatari besti ake sijui alipitia bagamoyo au wapi.
 
Huyo msela mavi tu Jack ndio tunavyomchukulia sisi waungwana
 
Sijaelewa na ninatamani nifahamu zaidi ya hivi nilivyofahamu
 
Mzee alizingua kuuacha mzigo wa haja huo , mzgo unaita kwenda kwa ka English figure
 
Madam Rita alizingua akidhani mwanamke yupo peke yake.... Ona sasa anavyo tia huruma na deni lake la bilion 1 za TRA alisha lipa?
 
Nadhani Madam Rita hakupenda kujiachia na mzee Mengi hadharani....Alitaka secret love. But Madam Jacky did the opposite. She kept everything open....and that is called love as we see it today between madam Jacky and Mzee Mengi.

Always madam Jacky yuko huru na Mzee Mengi popote pale BUT Madam Rita alikuwa na penzi la kujifichaficha akidhani ndio werevu!
 
Sema huyo dingi nasikia kicheche sana kabutua warembo wengi sana mjini na mke wake mkubwa alishtuka mapema akarudi zake mkoa.
 
Kila zama zina kitabu chake, sioni cha ajabu hapo
 
Back
Top Bottom