Kabla hajawa first lady hii isingekuwa habari
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiweka saini katika kitabu cha wageni leo mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni, jijini Dar es Salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Source: robertokanda.blogspot.com
Zile harambee za makanisani na misikitini zimeishia wapi, halafu mbona siku za hivi karibuni sikumuona mzee akipanda daladala na kunywa chai kwa mama ntilie, au yale yalikua maigizo maalum ya muda ule maalumTaasisi ya kitapeli ndio inaanzishwa hivyo!
haya hongera wewe nikijana mdadisi, kachunguze na mguu anatumia upi uje tuujadili
Hafai kuwa kwenye group lolote la whatsappLOL!,...JF burudani mwanzo mwisho!
Hebu waeleze hao!she must be kichwa
she must be kichw
she must be kichwa
yeah...wewe tena Genius wangu.....Kama memeeeee.......