Kumbe manara hakua pekee yake?

Kumbe manara hakua pekee yake?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Huyu ni pacha wa manara ,wasaliti waliokimbia Simba kwa kuhongwa bahasha za kaki
1664307046003.jpg
1664307022736.jpg
 
Natabiri mzee wa kuoa na wakeze kulala mbele utopoloni baada ya vijana wa kizazi kipya kuvamia kambi

Namwona akianza kuwachafua tena kwa kuwaita jina la zamani utopo

Namwona akitimkia kwenye alizeti au kwenye juice. Hapo hana hata miezi 6 ya kusalia utopoloni
 
Nchi hii hakuna watu wanaopata tabu kama Panya Road na mashabiki wa MAKOLO!!

Yaani hawa nadhani ni dada mtu na mdogo mtu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natabiri mzee wa kuoa na wakeze kulala mbele utopoloni baada ya vijana wa kizazi kipya kuvamia kambi

Namwona akianza kuwachafua tena kwa kuwaita jina la zamani utopo

Namwona akitimkia kwenye alizeti au kwenye juice. Hapo hana hata miezi 6 ya kusalia utopoloni
Hasa huko kwenye alizeti
 
Msiwe wapumbavu. Hizo jersey mtu anavaa tu si lazima awe team husika. Mi nina jersey ya Simba na ni Yanga damu. Jersey ya Simba nlipewa na rafiki yangu na kuna kipindi naivaa. Ali Kamwe ni Yanga wa miaka mingi na inajulikana. Ila kwenye uchambuzi alikuwa anajitahidi kubalance kuwa neutral. Acheni kuwa wapumbavu.
 
Nchi hii hakuna watu wanaopata tabu kama Panya Road na mashabiki wa MAKOLO!!

Yaani hawa nadhani ni dada mtu na mdogo mtu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Panya Road....??? Kuna panya road zaidi ya yule panya road kutoka Zambia mliomtambulisha jana...?
 
Manara hataweza mziki wa hao vijana wadogo. Enzi za Manara zimefikia ukingoni. Mambo ya kutumia tu mdomo kwisha. Professionalism inaanza kuchukua nafasi kwa timu za Kariakoo
 
Back
Top Bottom