GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Sababu ya Kuungua Moto Soko la Karume juzi ni Wale Mateja waliopo katika vile Vibanda kupenda Kulanduka kwa Mihadarati kama Bangi kila mara Vizimbani hasa hasa nyakati za Usiku" Mdau Bwana Tito.
Taarifa hii ipo katika Ukurasa wa Instagram wa Mtangazaji wa ITV na Radio One Dada yangu Farhia Middle na haina muda mrefu.
Kwa Majibu ya huyu Bwana Tito sasa ni rasmi kuwa kumbe Wazungu ( hasa ile Kauli ) aliyotuambia Waafrika aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump Waafrika wengi Wanafiki wakaichukia na Kumchukia huenda alikuwa sahihi 99.99999%.
Watu wa Serikali ( hasa System ) endeleeni tu Kuwapandikiza hawa Wajinga ili waje na hizi sababu za Kipumbavu mkijidanganya kuwa Watanzania wote hawana ( hatuna ) Akili ila kaeni mkijua haya yana mwisho na Wamachinga kamwe hawatokubali kufanywa Mbuzi wa Kafara kila mara ndani ya Ardhi ( Nchi ) yao.
GENTAMYCINE najaribu kutafuta 'Connection' ya Mateja Kuvuta Mihadarati yao Vizimbani Masokoni ( hasa pale Karume ) kisha Moto kuwaka 'Kimkakati' kwa haraka Kuzunguka Soko zima.
au huenda Mateja walikuwa Wamejipanga katika Vizimba vyote vya Soko la la Karume na kwamba kila aliyekuwa akiwasha Bangi na Kuivuta alikuwa akishalanduka ( akilewa ) tu anamtupia Mwenzake wa Kizimba cha Pili na kulala ( Kusinzia ) hivyo Yule wa mwisho alivyopasiwa Kipisi cha Bangi akakivuta na kilivyokuwa Kitamu akakitupa na Kulala mpaka kuanza Kuunguza Mali za Soko la Karume.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Taarifa hii ipo katika Ukurasa wa Instagram wa Mtangazaji wa ITV na Radio One Dada yangu Farhia Middle na haina muda mrefu.
Kwa Majibu ya huyu Bwana Tito sasa ni rasmi kuwa kumbe Wazungu ( hasa ile Kauli ) aliyotuambia Waafrika aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump Waafrika wengi Wanafiki wakaichukia na Kumchukia huenda alikuwa sahihi 99.99999%.
Watu wa Serikali ( hasa System ) endeleeni tu Kuwapandikiza hawa Wajinga ili waje na hizi sababu za Kipumbavu mkijidanganya kuwa Watanzania wote hawana ( hatuna ) Akili ila kaeni mkijua haya yana mwisho na Wamachinga kamwe hawatokubali kufanywa Mbuzi wa Kafara kila mara ndani ya Ardhi ( Nchi ) yao.
GENTAMYCINE najaribu kutafuta 'Connection' ya Mateja Kuvuta Mihadarati yao Vizimbani Masokoni ( hasa pale Karume ) kisha Moto kuwaka 'Kimkakati' kwa haraka Kuzunguka Soko zima.
au huenda Mateja walikuwa Wamejipanga katika Vizimba vyote vya Soko la la Karume na kwamba kila aliyekuwa akiwasha Bangi na Kuivuta alikuwa akishalanduka ( akilewa ) tu anamtupia Mwenzake wa Kizimba cha Pili na kulala ( Kusinzia ) hivyo Yule wa mwisho alivyopasiwa Kipisi cha Bangi akakivuta na kilivyokuwa Kitamu akakitupa na Kulala mpaka kuanza Kuunguza Mali za Soko la Karume.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.