Kumbe Matajiri waliovamia uongozi CCM ni majambazi!

Pole sana ndugu yangu kama hukujua.Wengi tulipoona matajiri wanaingia kwenye siasa tulijua tumekwisha.Tajiri hana ajenda nyingine,ajenda yake ni kuwa tajiri zaidi.Kwahiyo nia kwenye siasa ilikuwa ni kutafuta utajiri.Chochote kilichopo mbele yake yeye ni kukwapua,ndiyo tuliyo yaona na tunayoendelea kuona!Tusipowawekea brakes tumekwisha.

 
Habari za Mathayo Musoma ni za kutisha sana .Lakini ni CCM bwana nani wa kusema ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…