Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Last week nilikuwa nasikiliza kipindi cha Radio One Doctor. Mada ilikuwa juu ya magonjwa ya akili. Mambo mengi yaliongelewa ila hili lilinishangaza sana.
Kwanza Mateja wakikosa dawa wanaenda kwa mwenzao mmoja ambaye amefanikiwa kupata dawa. Wanachukua bomba la sindano anawapa damu yake kupitia hilo bomba. Wale mateja wenye njaa wanajidunga hiyo sindano kugawana damu ya yule mwenzao angalau nao wapate hicho kilicho kwenye damu! Inatisha.
Kwanza Mateja wakikosa dawa wanaenda kwa mwenzao mmoja ambaye amefanikiwa kupata dawa. Wanachukua bomba la sindano anawapa damu yake kupitia hilo bomba. Wale mateja wenye njaa wanajidunga hiyo sindano kugawana damu ya yule mwenzao angalau nao wapate hicho kilicho kwenye damu! Inatisha.