ni hatari kwa kweli mkuu maisha wanayoishi hawa watu ni hatari sana, kwa kifupi ni kwamba wanaishi dunia nyingine kabisa ya kufikilika huwezi amini. Nini cha kufanya? sijui, kwa sababu hao hao viongozi tunaowategemea ndio wanaoingiza hayo madawa kwa wingi sana. hata kuanzisha vituo vya matibabu kwa waathilika hawataki. inauma sana jamani ndugu zetu hawa wanapotea huku tukiwaaangalia na kuwashangaaa. so sad.