Pre GE2025 Kumbe Mbowe na CHADEMA yake asipolamba asali anakuwa anajifanya ana uchungu na mali za Watanzania

Pre GE2025 Kumbe Mbowe na CHADEMA yake asipolamba asali anakuwa anajifanya ana uchungu na mali za Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tar 24 mwezi huu ataandamana kupinga dhuluma za CCM

Ila alipotolewa jela kwa makosa ya kufadhili ugaidi alisahau habari za kuandamana.

Aliitwa ikulu akala chakula na juizi za ceres

Leo hii amesema ataandamana .Kisa tu hajapewe juisi za ikulu na anadai kuna dhuluma
 
Tar 24 mwezi huu ataandamana kupinga dhuluma za CCM

Ila alipotolewa jela kwa makosa ya kufadhili ugaidi alisahau habari za kuandamana.

Aliitwa ikulu akala chakula na juizi za ceres

Leo hii amesema ataandamana .Kisa tu hajapewe juisi za ikulu na anadai kuna dhuluma
Akili za nguruwe hizi
 
Vyama vya siasa ni kazi kama kazi zingine, ulaji ukipungua tu hupiga kelele, kwa kuwatunia wajinga waliojazwa upumbavu kuandamana, Mambo yakikaa sawa tu, wajinga huachwa pembeni na ujinga wao na werevu kuendelea kula wine na bata.
-Wajinga ndio operative drives za wanasiasa!
 
Vyama vya siasa ni kazi kama kazi zingine, ulaji ukipungua tu hupiga kelele, kwa kuwatunia wajinga waliojazwa upumbavu kuandamana, Mambo yakikaa sawa tu, wajinga huachwa pembeni na ujinga wao na werevu kuendelea kula wine na bata.
-Wajinga ndio operative drives za wanasiasa!
Mh
 
Back
Top Bottom