Naona tumetawala karibia ktk majukwaa yote.Ila walimu wapya wa ILALA,nawataarifu kuwa hapa huwa hatupewi vitambulisho vya kazi.Nilipoanza kaz nikawauliza walimu wakongwe,wakasema hata wao hawajui.
Kwani katika jamii ya Tanzania nzima katika profession yenye watu wengi zaidi ni ipi ? Ingawa statistically huenda member wengi wakawa waalimu ; ingawa wengi zaidi sidhani kama ni waalimu