GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Pongezi nyingi mno kwa Nahodha wa Uganda (The Cranes) Okwi, Kocha Micho, Refaree, Kamisaa wa Mechi na Msimamizi Mkuu kutoka CAF kwa Kukataa Mechi iahirishwe (kama ilivyoombwa na Mazuzu Waliofungwa) na kutaka Kipigwe na Mwanga ule ule uliokuwepo.
Wapuuzi wakubwa yaani tokea Mechi inaanza Taa zilikuwa sawa sawa na baada ya Mganga wa Kienyeji kutoka Morogoro na Kigoma kuwaambia Mtafungwa mkaamua muende katika mfumo wa Taa ili zipungue Kasi yake na Referee aone Mwanga hafifu ahairishe Mechi na Mroge upya.
Na kwa Umeme (Taa) kuwa hafifu vile tegemeeni Adhabu Kali kutoka CAF na hata Uwanja wenu Kufungiwa kabisa.
GENTAMYCINE nikiwasema na nikiwaambia Hamna Akili mnanikasirikia.
Hovyoooooooo.........!!!!!!
Wapuuzi wakubwa yaani tokea Mechi inaanza Taa zilikuwa sawa sawa na baada ya Mganga wa Kienyeji kutoka Morogoro na Kigoma kuwaambia Mtafungwa mkaamua muende katika mfumo wa Taa ili zipungue Kasi yake na Referee aone Mwanga hafifu ahairishe Mechi na Mroge upya.
Na kwa Umeme (Taa) kuwa hafifu vile tegemeeni Adhabu Kali kutoka CAF na hata Uwanja wenu Kufungiwa kabisa.
GENTAMYCINE nikiwasema na nikiwaambia Hamna Akili mnanikasirikia.
Hovyoooooooo.........!!!!!!