Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akueleze wewe na nani?
Sasa yeye akiwa deiwaka au mmiliki inakuhusu nini?
Alishawahi kukwambia ni ya kwake?
Huu ndio upashkuna, acha kujadili vitu vya watu, jifunze utu kidogo....
Tafadhali usimuite Mhe Balozi wa Zain deiwaka. Alihusika kwa kiasi kikubwa katika uanzishwaji wa Photo Point. Amiliki au asimiliki hio siyo issue hapa JF. Nadhani unataka kuleta umbea wa kumtafuta mmiliki halisi wa photo point ili iweje. Maadam ulimsikia Michuzi akisema yeye ni mmiliki, naomba amini hivyo hivyo, waliokuambia yeye ni dei waka ni wanga.
Ndugu yetu amekuwa akisema yeye ni mmoja wa wamiliki wa zile sehemu za kupigia picha na mpaka gari lake lina "poster za photo point" inasemekana yeye wala hausiki kabisa na photopoint, yeye ni kama deiwaka vile. Kama yumo humu atueleze basi
Kinachoitajika hapa ni ukweli tu kama yeye ni mmiliki au sio na huu si umbeya wala nini, kwanini watanzania hampendi ukweli? kithibitisho kipo ambacho anasema yeye ni mmiliki, karatasi za BRELLA zinasema tofauti na radio mbao zinasema sawa na BRELLA.
- Brother Issa Michuzi for president! Lyampinga ingia mjini taratibu mkuu! Siku hizi kuna shares kwenye umiliki kwa hiyo unaweza kuwa mmiliki usiwe mmiliki pia, lakini mmiliki anyways!
- Ni kweli tupo wapenzi wengi wa Michuzi maana angalau hatumii jina la bandia, sasa tutakwua wapenzi wako vipi huku hatukujui mkuu!
Have a nice day bro!
Unataka kufahamu umiliki wake wa Photpoint ili iweje???? Kwani wewe una kampuni gani??? Discuss great issues for the jamii ana not individuals!!!! Great minds..............Naona una lako jambo na Michuzi so mtafute muyamalize!!!!! Yaani mambo ya saloon,, vijiweni na upashukuna wa wakao barazani unataka kuuleta hapa kwenye jamii Forum ili tupoteze muda kuujadili???? Kwanza unatakiwa umwombe Michuzi msamaha.