Kumbe mlenda sio mboga

Kumbe mlenda sio mboga

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
10641114_886993854672852_6008760666051579642_n.jpg
 
So, ukipiga ugali na maharagwe pembeni mlenda, inakuaje hapo kama mlenda cyo mboga na maharagwe pia wanasema cyo mboga.
 
Napenda mlenda ukiwa umemixiwa na nyama au maharage,lakini nikikuta umekaa single hakuliki hapo
 
Ki biologia mlenda(ule wa kusaga wa kijijini) usiokuwa na bamia au majani ya maboga hauna viwango vinavotakiwa kujitosheleza kuwa na vitamini kwa ajili ya body metabolism,ni kama kula makapi cuteboy Amavubi
 
Last edited by a moderator:
Alafu wanawake wanaupenda,sijui kwa nini
 
Nikila hii kitu najiona ka nakula ugali na maji
 
Ndo umenikuza huo mimi! Bonge ka mboga! Mihanyenyi!
Agwe Mnya Nkhome, yonene miyago mnya Chamkey,
Yaniwapo semsema vibaya mlenda naona kama wanakosea sana hakuna mboga yakufananisha nayo, mlenda huisha kwanza kabla ya nyama na mziwa,
Kwangu mlenda ni kama Metro ya ugali unaenda bila kutafunwa nakama utatafuna basi, very softly, hata kichnga kataula na kushiba kilaiini
 
Back
Top Bottom