Ki biologia mlenda(ule wa kusaga wa kijijini) usiokuwa na bamia au majani ya maboga hauna viwango vinavotakiwa kujitosheleza kuwa na vitamini kwa ajili ya body metabolism,ni kama kula makapi cuteboyAmavubi
Agwe Mnya Nkhome, yonene miyago mnya Chamkey,
Yaniwapo semsema vibaya mlenda naona kama wanakosea sana hakuna mboga yakufananisha nayo, mlenda huisha kwanza kabla ya nyama na mziwa,
Kwangu mlenda ni kama Metro ya ugali unaenda bila kutafunwa nakama utatafuna basi, very softly, hata kichnga kataula na kushiba kilaiini