Mke wa mtu sumu..na ni umauti ulio karibu!!Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
Mwanamume ndiye aliyemsomesha huyo mwanamke hadi akawa daktari (MD). Shukrani ya kujinyima ili mke wake asome ndiyo hiyo-eti hamtaki kwa sababu hana elimu.Kwani wakati anamchumbia hakumwuliza elimu yake?
Yeye ni daktari (Doctor of Medicine- MUCHS), anadai mumewe ni form four tu! Mimi ninafanya masters, hivyo anaona mie ninamfaa zaidi! Ila ukweli ni kwamba, baada ya yeye kuniambia juu ya hili la mumuwe, ndo nikaanza kustuka ya kuwa hanipendi bure, bali elimu na sura! Hii ni kutokana na moangezi yake niongeapa nae! Ndo maana naomba ushauri.
hivi hata mke wa mtu akiachwa na kibuzi anaumia?
Mke wa mtu ukimwacha anaumia mara mbili, anaona kuwa alimuacha mumewe kukufuata wewe, sasa ukimuacha manake umemuacha yeye na mumewe!! Anaumia sana.....:israel:
Mke wa mtu ukimwacha anaumia mara mbili, anaona kuwa alimuacha mumewe kukufuata wewe, sasa ukimuacha manake umemuacha yeye na mumewe!! Anaumia sana.....:israel:
mwisho wake ni wewe kuliwa TiGo
kuna thread hapa JF ya kaka aliyekatwa mkono kwa kutembea na mke wa mtu. isome halafu utafahamu uamuzi wa kuchukua
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?