aliekuambia mapenzi yanaangalia elimu nani???? nasiku zote alikua hajiui kama huyo mumewe hajasoma mpaka kakupata wewe msomi???? huyo mwanamke sio muaminifu tuu. kua makini namagumegume
Asante Lilian, kumuacha ni vema! Suala ni kwamba nitumie mbinu ipi kumwacha bila kumfanya akaumia sana?
Mwanamume ndiye aliyemsomesha huyo mwanamke hadi akawa daktari (MD). Shukrani ya kujinyima ili mke wake asome ndiyo hiyo-eti hamtaki kwa sababu hana elimu.
Yeye mbona alikuambia kuwa ni mke wa mtu, baada ya kuwa amekuficha ukweli, bila kujali kuwa ukiujua ukweli utaumia sana? Hapo mimi naona siyo kweli kuwa unaogopa yeye kuumia ila wewe ndiye unayeogopa kuumia kwa kukosa vijisenti anavyokupatia unapokuwa umechalala.
Jeff nipo mwana,mambo vipi!!!umepotea!!Eeeeh bibie upo? habari za masiku mengi!