Kumbe Mzee Mtei aliiongoza CHADEMA kwa miaka 3 tu, Mzee Bob Makani Miaka 5 tu leo Mzee Mbowe miaka 20 na Uchawa juu

Kumbe Mzee Mtei aliiongoza CHADEMA kwa miaka 3 tu, Mzee Bob Makani Miaka 5 tu leo Mzee Mbowe miaka 20 na Uchawa juu

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
Basi huyu Mzee Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA kwa sasa imezidiwa na machawa na uchawa.

Kwaakili za kawaida hivi inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka zaidi ya ishirini (20 ) na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae hata baada ya kuonesha matokeo hasi?

Hawa watu wako tayari kwa gharama yoyote hata ya kukivuruga chama kisa Freeman Mbowe?

Je, haya ni matokeo ya uchawa uliopiliza ndani ya CHADEMA?
Je, ni Mungu tu amempa KIBALI hiki?
Je, ni Uchawi?
 
Huyu Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA imezidiwa na machawa Kwa Sasa,

Inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka 20 na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae kwa gharama yoyote hata ya kukivuruga chama?

Je, ni uchawa uliopiliza?
Je, ni Mungu?
Je, ni Uchawi?
Bila METAPHOR ambayo mbowe amekua ana apply hapo CDM hakuna mwanaume mwenye 💪 ya kupambana na CCM na akabakia salama kwa miongo miwili NON_STOP

Kwenye utawala wa MAGUFURI ilifika kipindi mbowe alipoteza kila kitu mashamba,Jimbo, bilicanas na account ku be freeze na kikubwa zaidi AKAPEWA NA UGAIDI ni nani anakumbula mbowe ALIKUA MTUUMIWA WA UGAIDI.

Haya mambo sio story za UJITUKABEJA
 
Bila METAPHOR ambayo mbowe amekua ana apply hapo CDM hakuna mwanaume mwenye 💪 ya kupambana na CCM na akabakia salama kwa miongo miwili NON_STOP

Kwenye utawala wa MAGUFURI ilifika kipindi mbowe alipoteza kila kitu mashamba,Jimbo, bilicanas na account ku be freeze na kikubwa zaidi AKAPEWA NA UGAIDI ni nani anakumbula mbowe ALIKUA MTUUMIWA WA UGAIDI.

Haya mambo sio story za UJITUKABEJA
Sasa huyu aliyepigwa risali 16 yeye asemeje?
 
Wakamuweka aliye na umri mdogo kwao.

Hivi familia za hao Wazee zinapata chochote kutoka CHADRAMA?
 
Uchacha wangwe tuusubirie au atakubali kutema bungo kinywani?
 
Basi huyu Mzee Mbowe huenda ana Mungu sana au ni mchawi sana au CHADEMA kwa sasa imezidiwa na machawa na uchawa.

Kwaakili za kawaida hivi inawezekanaje mtu aongoze taasisi kwa miaka zaidi ya ishirini (20 ) na bado watu Wanaendelea kuwa na imani nae hata baada ya kuonesha matokeo hasi?

Hawa watu wako tayari kwa gharama yoyote hata ya kukivuruga chama kisa Freeman Mbowe?

Je, haya ni matokeo ya uchawa uliopiliza ndani ya CHADEMA?
Je, ni Mungu tu amempa KIBALI hiki?
Je, ni Uchawi?
CCM DAIMA
 
Kwanini Mbowe asiwe na chama chake kingine akiongoze mpaka kifo
Kati ya mbowe na lisu nani ni founder na nani mkaribishwaji..

Bila u bulldozer wa mbowe chadema ingeshaga kufa Kama TLP,NSSR MAGEUZI,CUF na vyama vingine vingi bila kusahau Chama cha momose cheyo (UDP)

Kaa ukijua baba wa ubatizo wa freeman mbowe ni JULIUS KAMBARAGE NYERERE so hajatokea background ya KIMASIKINI

na maskini siku zoteee hununuliwa kwa vipande vya fedha na cheo.
 
Back
Top Bottom