warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Sio kawaida kwa waislamu kuagwa sura ya mwisho na miili yao kuhifadhiw kwenye masanduku(majeneza) kama ilivyotokea kwa marehemu mzee sepetu.mzee alikuwa mkristo au swaga tu,maana mazishi ya kikristo uwa yana mbwembwe nyingi tofauti na waislamu,au labda waliamua kufanya tu kama fasheni