Niliposikia huyu mama wa kizimkazi anaenda kupewa "degree" Ya heshima India, moyo ukalia paaa, najiuliza kitu gani, kingine ameamua kuuza kwa magabachori!
Yaani anakaribisha wawekezaji wenye mtazamo wa, kimaskini, Arabs, Indians, chines, kila MTU anajua ukifanya kazi, kwa, mzungu,ni tofauti Sana kama unafanya kazi, kwa, Hao kenge wengine,
Ila Huyu shangazi, wa, kizimkazi ndio anawakumbatia,
Degree ya heshima ili ilete nini? Kwa kipi alichokifanya, hapa ni kutafuta umaarufu wa hovyo, tunajua nchi imeishamshinda, sasa ni kutapatapa