Kumbe na mkataba walishasign!

WAULIZE WA SOUTH AFRICA WANAVYOFAIDI na MATUNDA YA MZUNGU KULIMA HEKA MILION. MMarekani Bingwa wa kilimo cha mahindi ambaye analima mpaka nafaka zingine zinatupwa baharini kwa sababu ya kukosa mahala kuweka , leo kaja kutuonesha jinsi na sisi tutakavyo jitoshereza kwa kilimo cha mahindi, eti leo watanzania hamtaki! Mimi naipa hongera sana serikali kwa uamuzi huu na naiomba iwatafute wengi tuu waje kukodi ardhi ili watulimie mashmba makubwa na sisi tujitoshereze ki chakula. Baresa anatumia mamilion ya Dola kunufaisha wananchi wa bangladeshi, India, na Indonesia walimao mahindi. Bakhresa Hununua mahindi huko kwao na kuleta hapa wakati sisi hatujafikia hata kumtoshereza Bakhresa, leo hii kaja mmarekani kutufundisha kulima kisasa , eti tunamkataa. Selikali, tia ndani watu wote wakolofi hao na endelea kumpatia mmarekani maheka na maheka ili alime Kilimo kwanza. Watoto wetu hawali shule milo miwili, halafu tunajifanya kumkamia mmarekani asitwae ardhi kulima. Komeni na kiburi cha kuchukia wazungu, mimi naunga mkono, sera hizo za kuleta watalaam wa kilimo duniani kutulimia kuliko kukalia ardhi kubwa wakati hatujui kuitumia. NI vizuri kweli tukiwa na njaa tumbilie kuomba kw amataifa ya magharibi na japan ili watuletee chakula au ni bora tuwape ardhi watulimie ili tukipata njaa, tusilie kama ilivyo Kenya kaskazini na somalia? Kueni enyi mashabiki wa kikomunisti.
 
kweli naamini, kambale hata ukimpatia dawa ya mmba na mchubuko, kamwe hatabadili rangi za ngozi zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…