faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
You were not allocated higher
education loan for 2013/14
academic year for this
reason:ELIGIBLE FOR LOAN, BUT
BUDGET EXHAUSTED
kumbe nilitakiwa kupewa ila ela wameshagawana dah inaniuma sana....!!!
wat is dat fukn qn unaniuliza,So what next!
Una-quality zote za kuwa mbunge. Tafuta jimbo, utaniambia.wat is dat fukn qn unaniuliza,
hehehehe xema kuna wa2 wapo kama mashoga dah
Naungana na wewe ndg. faraji..
Kuna watu wachache humu jf, hawana ustaarabu kabisa, they're always here to post nasty notions,ilimradi tu nao waonekane....
Back to the topic....
Pole sana faraji kwa haya majanga yaliyokukuta...!!
Hivi hawa heslb wanamaanisha nini wanaposema pesa zimeeisha,alafu wanakwambia subiri nafasi za appeals zitoke...
wat is dat fukn qn unaniuliza,
yani kiukweli wana2fanyia sio vizuri kabisa watu wengine ndoto zetu ndo zimeishia apa kiukweli inauma afu unaandika thread nzuri m2 anakusnich dah laiti kama mngekua mnajua m2 anajisikiaje sizani kama kwa mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya ivo ase
Samahan kama nimekukwaza mkuu.. Lakini hata mimi nimeandikiwa hvyo nilipouliza ni limaanisha nini hatma yetu! maana hawajasema kama tutapewa! Alafu una appeal nn wakati wamesema unavigezo ni hayo tu mkuu..
Natambua deep emotions ulizonazo kwa sasa,ndg yangu faraji, lakini hili lisikufanye useme "ndoto yako imeishia hapa"
They said "what doesn't kill you makes you stronger",and obvious nature ya mwanaume ni kupambana na mazingira/hali ngumu....
So nakushauri strive to the last drop of your haemoglobin,hope you'll vanquish this short tough situation and then you'll enjoy happy moments for the rest of your life...usije ukaacha elimu iende zake...
Jaribu kwanza kuappeal,ikishindikana do the necessary....
Wishing you all the best mkuu faraji
usijali bro tupo pamoja ni katika harakati za kueleweshana ndugu usijali bro may be 2jaribu kuapil kiukweli
dah aisee bro nashukuru sana kwa ushauri wako mzur kiukweli we bro unautu sana unajua umenipa faraja sana kiukweli nimefarijika kwa kutambua feelings za watu kama sisi kiukweli a just thank you 4 da maximum bro God bles you in whatever u a duing bro
dah bro me nimepangiwa udsm BA IN economics
Its so pathetic na poleni sana...
Hivi appeal zenu ni zile za kulipia (kuna maeneo to appeal you have to pay some fee)
And if that is the case, mna-appeal nini sasa wadogo zangu wakati "Budget Exhausted"
Sijui ni majanga au ni vituko????
Congrants cobber...
Hope tutameet,mimi nimechaguliwa CoNAS asee
So what next!