labda JF ya siku hizi lakini JF ya zamani zile wadau walikuwa wanakuja na mikasa ya ukweli ya kimaisha kabisa. na maushauri waliyokuwa wanapata yalikuwa ya kujenga sana hata kwa wengine ikitokea mikasa hiyo ikawakuta pia.
Na huu utafiti umeufanya kwa kigezo kipi?
unauhakika gani na unachosema??:crutch:
JF ya zamani ndo ipi hiyo JS?
Eti kumbe 98% ya mada zinazoletwa na wadau mbalimbali kwenye hili jukwaa la MMU huwa ni za kutungwa wakuu?