Kumbe ni Askofu Mwamakula ndiye aliyempigia Lissu Simu kutaka Covid 19 wasamehewe

Kumbe ni Askofu Mwamakula ndiye aliyempigia Lissu Simu kutaka Covid 19 wasamehewe

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Kuna interview Lissu aliifanya kama si Clouds Tv basi ni Global Tv kwenye hiki kipindi cha kugombea uenyekiti wa chadema Global Tv, alisema kuna kiongozi mmoja wa Dini alimpigia Simu Kumuomba Wawasamee wale wabunge 19 maarufu kama Covid 19

Kumbe kiongozi huyo ni askofu Mwamakula hii imedhilika Baada ya andiko la Askofu Mwamakula, kuelezea jinsi Hayati Rais magufuli alivyomtumia Ujumbe wa kutaka kuwashawishi Lissu na Mbowe kuwasamehe Covid 19 na kuridhia waapishwe

Yawezekana Mbowe alikubali kimyakimya ndo maana wakaapishwa? Maana lissu ameshasema kua alikataa
 
Kuna interview Lissu aliifanya kama si Clouds Tv basi ni Global Tv kwenye hiki kipindi cha kugombea uenyekiti wa chadema Global Tv, alisema kuna kiongozi mmoja wa Dini alimpigia Simu Kumuomba Wawasamee wale wabunge 19 maarufu kama Covid 19

Kumbe kiongozi huyo ni askofu Mwamakula hii imedhilika Baada ya andiko la Askofu Mwamakula, kuelezea jinsi Hayati Rais magufuli alivyomtumia Ujumbe wa kutaka kuwashawishi Lissu na Mbowe kuwasamehe Covid 19 na kuridhia waapishwe

Yawezekana Mbowe alikubali kimyakimya ndo maana wakaapishwa? Maana lissu ameshasema kua alikataa
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
 
Kumbe kiongozi huyo ni askofu Mwamakula hii imedhilika Baada ya andiko la Askofu Mwamakula, kuelezea jinsi Hayati Rais magufuli alivyomtumia Ujumbe wa kutaka kuwashawishi Lissu na Mbowe kuwasamehe Covid 19 na kuridhia waapishwe
Askofu amekana kuwa hangeweza kufanya hilo na ndiyo maana baadaye alifuatwa kwa vitisho vya kuuawa
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
Ona tahira majitu ya ccm bhana leo mnamtetea mbowe
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
Umeandika kama huna ubongo
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji16][emoji1][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28]
Kapitie hayo mahojiano utakutana na kipande nilicholielezea hapa na andiko la askofu bila shaka umeshalipitia, hakuna sehemu nimemuhukumu Mbowe ndo maana nikaweka kiulizo

Hilo sega ulilopewa na mbowe angalia liseje likakupalia
 
Askofu amekana kuwa hangeweza kufanya hilo na ndiyo maana baadaye alifuatwa kwa vitisho vya kuuawa
Kwa maana hiyo Magufuli aliwatumia Viongozi wengi kutaka kuwashawishi Mbowe na lissu?
 
Huyo Mwamakula leo anataka CDM ibadili uongozi , Mbowe amekaa sana..

Aisee kuongoza Chama cha upinzani kama CDM ni kaz ngumu sana
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
Kweli we ni wa hovyo sana.

Halafu wewe si ulikuwaga unajifanya unatetea sana demokrasia humu?

Majitu ya mtandaoni ni matakataka kabisa, yanaenda kama nyumbu tu.

Acheni kulaghai watanganyika.
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
Duuh!
 
Lisu amewaharibu akili, can not think.,kwanini unamhukumu Mbowe hivyo, umesikia kauli yake akikubali. Kwanini unamuamimi Lisu? Au kwa bile alipigwa risasi? Risasi ni ujeuri wake😄😄😂😂😃😃🤣🤣😃😃😁😄😂🤣😂😀😃😄😁😆😅
Mbowe anasema aliwaita Halima Mdee na Esther Bulaya Hotelini Nairobi Kenya Kwa mazungimzo 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom