Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Jana wakati wa taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku, walimripoti katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama kwa kumtaja kama Dk wakati akiongea na wana CCM wa chuo kikuu Mzumbe,mi nishangaa na sikuwahi kufahamu kuwa ni daktari.Mwenye kujua tafadhali.