kumbe ni kweli ile kili star ya cecafa ilikuwa ni simba

Wao hawana akili?Kocha gani anachagua timu mbovu?Kama vipi wangekataa kazi.
 
napenda azam sana kidogoo wanajitahidi kubadilisha soka..
 
Ilikuwa ni Simba ndio maana walau ilifika nusu fainali. Ingeongezwa wachezaji wa Yanga tungeishia raundi ya kwanza. Hebu tuwe wakweli, kuna mchezaji gani pale Yanga aliyecheza vizuri kwenye ligi lakini hakuchaguliwa Kili stars?
 
julio mpira anachanganya na siasa. mala utasikia goli hili ni zawadi ya rais na mwenyekiti wa ccm mh.dr. jakaya kikwete.
Kwa mfano siku ile anachagua kili star alisema haoni mchezaji yanga wa kucheza kwenye kikosi chake imara atakacho kichagua. mia

Kweli alisema?
 
Siku ya Yanga na Zamalek itabidi tukaangalie waarabu watakavyoiadhibu Yanga.
 
Atakama wasipowashangilia Zamaleki lazima Yanga tufungwe.mia
 
Ilikuwa ni Simba ndio maana walau ilifika nusu fainali. Ingeongezwa wachezaji wa Yanga tungeishia raundi ya kwanza. Hebu tuwe wakweli, kuna mchezaji gani pale Yanga aliyecheza vizuri kwenye ligi lakini hakuchaguliwa Kili stars?

Mimi mdau mkubwa wa Yanga...kweli hakuna mchezaji pale Yanga zaidi ya Nurdin Bakari kwa wale wazawa wanaochezea Yanga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…