Dr Slaa ama upeo mkubwa sana wa maarifa, fikra zake zoko mbele sana zaidi ya JK na CCm, ndiyo maana CCm na Jk wanatekeleza maamuzi yake.
Jk, wasaidizi wake wote nadhani wana ugonjwa wa kumbukumbu, kwani hata kama rais akisahau, wasaidizi wake ndiyo wanatakiwa kukumbuka, na kuyafanyia kazi.
Lets pray for Dr Slaa to save our country.