Kumbe ni mama yangu mdogo,aiseeh!

Kumbe ni mama yangu mdogo,aiseeh!

Sasa kwa ulivoelezea si atajua tu ni wewe..au hii ni chai mkuu??
 
Kama si chai basi amekujua kirahisi sana.
 
Hauna mila weye sio, yaani unadiriki kupekua simu ya Mama Mdogo?

Hilo la ID sio tatizo ndiomaana wameruhusu tutumie majina yasiyo halisi.
Kwangu wewe ndio una shida kubwa kuliko hata Mama mdogo, hapo hana mtoto.
 
Ushajisema hivooo hata hvyo sio mbaya jf ni dunia nyingne na dunia halisi tunayoishi
 
Siku moja nilikua mm,dingi na rafiki ake ding hv afande wa kichaga tuko tunakula. Yule afande akatoa sim wakati anatoa Lock nikaona ana click notificancio za JF. Aisee niliwaza mengi sana
 
Unashikaje simu ya m mdogo uipekue mbn story haina uhalisia
 
Wakuu sikuipekua simu,aliiweka mezani harafu alitoka ghafla ikawa bado haijaji`lock nikaona rangi za JF ndio nikasogelea kupiga chabo kutaka kujua alikuwa anasoma nini JF ndio nikaiona ID yake,na ndio maana nikasema nili`sneak tu,ilikuwa ni kitendo cha seconds kama 15-20 tu,so kwa ambae hajanielewa asinihukumu tu,binadamu tuna udhaifu huo wa chabo,hata kwenye madaladala tunapigana sana chabo kutaka tu kujua huyu anafanya nini kwenye simu yake...uroho wa chabo ni udhaifu wetu tulio wengi,najua mnanielewa ila tu ujivuni wa kukosoa kosoa ndio mnataka kuniona nazingua..
 
Hii nimegoma kuiamini ni chai live, next time jitahidi kutunga uongo utakaoendana na ukweli
 
Wakuu sikuipekua simu,aliiweka mezani harafu alitoka ghafla ikawa bado haijaji`lock nikaona rangi za JF ndio nikasogelea kupiga chabo kutaka kujua alikuwa anasoma nini JF ndio nikaiona ID yake,na ndio maana nikasema nili`sneak tu,ilikuwa ni kitendo cha seconds kama 15-20 tu,so kwa ambae hajanielewa asinihukumu tu,binadamu tuna udhaifu huo wa chabo,hata kwenye madaladala tunapigana sana chabo kutaka tu kujua huyu anafanya nini kwenye simu yake...uroho wa chabo ni udhaifu wetu tulio wengi,najua mnanielewa ila tu ujivuni wa kukosoa kosoa ndio mnataka kuniona nazingua..

Unajitetea na huku umeamua kuyaandika mwenyewe!!!
 
yaani mtu anapiga kelele KAUA KAUA... uache kukimbilia nje kuangalia tukio la mauaji... uanze kushangaa notification za JF...? si COCOA hii...
 
We keep quiet sijapenda tabia yako kumbe mda ule nilivyo toka nje ulikua unakagua sim yangu
 
Back
Top Bottom