Kumbe Odama ni kicheche wa kimyakimya

Eti kazalia nyumbani!!,we ulitaka azalie porini!?
 
Kwa hiyo woooote mnaomshambulia mtoa hoja mnaona mtu kuzalia home ni halali bila ya ndoa?
Ama kweli peponi wataenda wachache,tena mnakomaa ulitaka asizaeeeee?
Sasa haramu umekua halali.
 
Kwa hiyo woooote mnaomshambulia mtoa hoja mnaona mtu kuzalia home ni halali bila ya ndoa?
Ama kweli peponi wataenda wachache,tena mnakomaa ulitaka asizaeeeee?
Sasa haramu umekua halali.

Afadhali ndugu yangu umeliona hilo,nashangaa sana kila mtu ananishambulia humu,wakati wanajua fika kuwa,odama ni kioo cha jamii,anatakiwa awe na matendo ya kuigwa kwa jamii,ni binti mrembo ambaye angetulia na kujiheshimu angeolewa kwa ndoa na kuwapa heshima wazazi wake,na si upuuzi aliofanya wa kutandikwa mimba na kuzalia kwa wazazi wake tena na mume wa mtu,halafu mijitu humu bila hata kufikiri inaniandama eti mara alinikataa,mara ajabu iko wapi? hayo ndo maadili?
 

hayo mazito sasa ndo tunayataka na si haya hapo utakuwa umejisafisha jina...funguka mzee!
 
kidume cha mbegu ..... mbona una wivu wa kike?
 
Nauliza tu km JK amesharudi ama?
 
Yaani ulichoongea kinatokea kwa wanawake karibu wote duniani, including dadako (samahani lakini). Yaani huko kuzaa na mume wa mtu ndo basi tena kunatosha kumfanya kuwa "mshenzi?" Kuna wanawake wangapi ambao wamezaa na wanaume za watu? Yaani unavyoongea as if ulitarajia huyo Odama hadi leo awe bikira vinginevyo huo ukicheche uliotukuka sijui uko wapi wakati hata wewe mwenyewe umeshindwa kuithibitisha na kuishia kusema "Yusuf Mlela na wengine....!" Kwa haraka haraka hapo, ni kwamba umeonesha wanaume waliowahi kumvua nguo ya ndani huyo Odama ni wawili tu... Mlela na huyo aliyempiga mimba! Kwa umri wa Odama, hata akama ameshavua kwa wanaume watano, bado ni acceptable number... kama unabisha, wadada wa JF walio rika la Odama watoe ushuhuda hapa coz' for what I know, yule dada anakimbilia 30!
 

Ulichoongea ni sawa mkuu,mimi nime base kwa hoja ya yeye kuwa mfano wa kuigwa na jamii maana ni role model,haijalishi age yake,kuwa star ni msalaba mkubwa sana.
 
Ulichoongea ni sawa mkuu,mimi nime base kwa hoja ya yeye kuwa mfano wa kuigwa na jamii maana ni role model,haijalishi age yake,kuwa star ni msalaba mkubwa sana.
Ngoja nikuambie jambo moja... kwa jinsi ulivyoandika thread yako tayari umeshampa credit Odama... how? Katika haya mambo hakuna cha Sheikh wala Padri... itakuja kuwa msanii? Kinachotakiwa kwa watu kama hao ni usiri ambao ndio unafanywa na Odama... gawa alinjembwele upendavyo, lakini gawa kwa staha na sio kila mtu afahamu kwamba ni mgawa alinjembwele maarufu... magazeti yote ya udaku yanafahamu kwamba jana umetoa alinjembwele kwa fulani na juzi kwa fulani! Huyo Odama tayari amedhahirisha kwamba yeye ni kioo cha jamii manake hata wewe umeshindwa kutaja aliowapa alinjembwele na kuishia kumtaja Mlela na yule aliyempiga mimba! Kwa jinsi Odama alivyo mzuri, am sure atakuwa amepigwa na wanaume zaidi ya watano... lakini hatuwafahamu... na hivi ndivyo anavyotakiwa kuishi yule anayeamini ni kioo cha jamii.
 

Alinjembwele.!!!!?????
Ndio nini mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…