mickytop46
Member
- Nov 10, 2010
- 39
- 6
Hebu tujuze kwa hili kwa manufaa yetu.... nilidhani hii ishu ni kwa wauza ndizi wa kike tu tu...!!:A S 465:wengi waliopo hapa Ohio/Ghana streets ni wadada wa IFM & CBE, biashara hii mbona hata mchana ipo mitaa hii ila ni kwa STAHA.
Hebu tujuze kwa hili kwa manufaa yetu.... nilidhani hii ishu ni kwa wauza ndizi wa kike tu tu...!!:A S 465:
yani uwezi kuamin kandri siku zinavozidi kwenda wasichana wanaojiuza maeneo ya ohio inazidi kuongeka tena biashara inaanza mapema tu mida ya sa moja na nusu hivi ..chakushangaza unamkuta ameka alafu ameachia sehemu nyeti zake wazi kbs ili kila mteja haone kweli ukimwi utaisha kwa namna hii maana kama biashara ingekuwa haiyendi wasinge ongezeka wana JF mnalionaje hili...
Acha kuwadhalilisha wadada wa watu wewe!Unadhani kila anaefanya hiyo biashara anajiuza??Alafu unashangaa wauzaji wanaongezeka wakati unaonekana unaunga mkono hiyo biashara?As long as wanunuaji mpo wauzaji hawawezi kutoweka!Hebu tujuze kwa hili kwa manufaa yetu.... nilidhani hii ishu ni kwa wauza ndizi wa kike tu tu...!!:A S 465:
Umsema mcha inafanyika kwa staha... na hapo ndipo udadisi wangu ulipo inafanyikaje hapo mkuu?:A S 465:Kuna hotel maarufu ya zamani ambayo bado kesi yao inunguruma iitwayo Embassy hotel, pale ndio center ya chap-chap na walinzi wa pale ndio wadau kwa dili hizo za fasta-fasta.
Hotel hiyo ni kwa mchana mambo swaaafi, wadada wauza ndizi wao mara nyingi ni kwenye majengo marefu yanayojengwa mitaa ya kati ya jiji.
nililolisema lipo sana tu... na nishalishudia mara kadhaa na wala si kudhalilisha watu... nimiomba elimu tu kwa alotumbukiza hoja ya Ohio ya mchana...Acha kuwadhalilisha wadada wa watu wewe!Unadhani kila anaefanya hiyo biashara anajiuza??Alafu unashangaa wauzaji wanaongezeka wakati unaonekana unaunga mkono hiyo biashara?As long as wanunuaji mpo wauzaji hawawezi kutoweka!
Wanunuzi wameongeka wauzaji haina budi kuongezeka
the high the demand....the high..
The high customers ..the viosk,masoko ,wauzaji kuongezeka.
Nawasilisha.
Umsema mcha inafanyika kwa staha... na hapo ndipo udadisi wangu ulipo inafanyikaje hapo mkuu?:A S 465:
yani uwezi kuamin kandri siku zinavozidi kwenda wasichana wanaojiuza maeneo ya ohio inazidi kuongeka tena biashara inaanza mapema tu mida ya sa moja na nusu hivi ..chakushangaza unamkuta ameka alafu ameachia sehemu nyeti zake wazi kbs ili kila mteja haone kweli ukimwi utaisha kwa namna hii maana kama biashara ingekuwa haiyendi wasinge ongezeka wana JF mnalionaje hili...
Tunaliona kama soko huria sasa hivi
Mamy bidhaa ikiwa sokoni bila wanunuzi nadhani itaoza na haitaexist tena ila kama wateja wengi itashamiri sana mi nawashauri wakaka waache kwenda kwa dada poa then tuone watamuuzia nani