kumbe OHIO bado inafanya kazi

We we we! ishia hapo hapo :bolt: OHIO, KININDONI, SINZA MAKABURINI, AFRICA SANA, BUGURUNI SHELI, AMANA, KONA YA MABIBO,....

hahahaah umesahau na kwenye massage centers zote mkuu
 
Jamani Biashara hii ni nzuri sana mbona hahitaji mtaji wowote anapata mapesa kibao! Anaweza pia akafanya kwa malengo akakusanya kwa muda fulani kisha akabadilisha biashara akawa na biashara ya maana sana. hebu tuwe positive kwa mambo mengine tusipinge tuuuuu mpaka basi hapana. Kisu ni kizuri hutumika kukatia mboga na matumizi mengine lakini ukikitumia vibaya huua! Moto ni mzuri tunapikia, tunaota (sisi wa Iringa na Mbeya) na matumizi mengine kibao lakini huchoma nyumba zetu, misitu na huua pia kwa hivyo wakati mwingine tuwe positive kwenye hii biashara wajikinge vyema na magonjwa ni biashara nzuri tu tena wateja wake sio walala hoi bali ni vibopa can you imagine?
 
Asante kwa elimu... najua wamenufaika wengi tu!!
 
nililolisema lipo sana tu... na nishalishudia mara kadhaa na wala si kudhalilisha watu... nimiomba elimu tu kwa alotumbukiza hoja ya Ohio ya mchana...

Lakini kuweni waangalifu, siku moja nilisikia redioni kwenye kipindi cha njiapanda
Binti mdogo miaka 16 aliyekua akifanya biashara ya ukahaba alikuwa akieleza jinsi wanavyofanya mipango na majambazi ili kuwaibia hao
Wanaowaita wateja wao, alieleza jinsi wanavyopora watu magari yao wakati wa hiyo biashara ya short time, huyo mtoto amewahi hata kuuwa mlinzi akiwa na wahalifu wenzake baada ya kumzoea mteja aliyempeleka mpaka nyumbai kwake, kwa hiyo BEWARE wazee
Magari yao
 
wengi waliopo hapa Ohio/Ghana streets ni wadada wa IFM & CBE, biashara hii mbona hata mchana ipo mitaa hii ila ni kwa STAHA.

NI KWELI AU?HaO WASOMI HAWAJUI MAMBO YA UKIMWI NA BIASHARA HARAMU AU NDIO BODI YA MIKOPO IMEWATOSA SASA WANASAKA ADA THROUGH THAT UKAHABA?
 

Ki ukweli kabisa ukimwi wa Tanzania ni wa kujitakia zaidi kuliko inavyodhaniwa. Kama askari anaweza kuwaona wasichana wanaojiuza na akawaacha waendelee kujiuza au awakamate halafu wampe hela na awaachie ujue tatizo ni kubwa na hivyo tutakwisha. JAMBO MOJA NAOMBA MJUE NI KUWA OHIO IPO KARIBU MITA 500 TU TOKA WHITE HOUSE YETU LAKINI BAYA ZAIDI NI KUWA OHIO IPO MITA 50 TU KUTOKA MAKAO MAKUU YA POLISI TANZANIA! Tutakwisha kwa ujinga wetu.
 

Baba J mtaji unahitajika sababu huwezifanya biashara hii peke yako. all those have groups, akiwa alone ataishi mitungo na watu kusepa
 


Sina uhakika na vipimo vyako mkuu, kwamba kituo cha polisi kipo karibu kuliko ikulu???????????????///
 
mi nafikiri risk ya ukimwi kupitia sex workers iko chini ukilinganisha na ndani ya ndoa na katika mahusiano ya kiuashearti. hii inatokana na kuwa ukijamiiana na sex worker huwa uko makini sana na si rahisi kupractice mgono zembe kwa kuwa huwezi kudiriki kusema kuwa unamwamini na hamuoneani haya kuhusu kutumia kondom. ila katika ndoa na mahusiano ya nje ya ndoa na kabla ya ndoa kuna kujidanganya kwingi mno kuwa mnaamiiana na bila hata kupima mnajikuta mmetumbukia kwenye ngono zembe na hatimaye ukimwi
 
Red: Ndugu...kuna biashara isiyo na myaji... Unakumbuka Maneno ya Rais wetu wa awamu fulani alosema kuhusu wanawake...UCHUMI WAO WAME....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…