Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 122
Ndio unajua hili leo? Wala hawajaficha ila sema ulikuwa haujapata taarifaKwa mujibu wa kipindi cha michezo cha clouds fm cha asubuhi hii ya leo, perfect chikwende ameamua kuvunja mkataba na simba na kurejea kwao zimbabwe ambapo kwasasa anafanya mazoezi na klabu ya fc platnum. Simba mbona mnatufivha kwenye hili?
We umeipata wapi hii taarifa? Maana vyanzo rasmi vya club havijawahi kutoa taarifa mahala popote.Ndio unajua hili leo? Wala hawajaficha ila sema ulikuwa haujapata taarifa
Hata wasipokuambia haina effect yoyote kwakoKwa mujibu wa kipindi cha michezo cha clouds fm cha asubuhi hii ya leo, perfect chikwende ameamua kuvunja mkataba na simba na kurejea kwao zimbabwe ambapo kwasasa anafanya mazoezi na klabu ya fc platnum. Simba mbona mnatufivha kwenye hili?
Endelea kusubiri taarifa hadi pale zitakapotangazwa kwenye redioWe umeipata wapi hii taarifa? Maana vyanzo rasmi vya club havijawahi kutoa taarifa mahala popote.
Isingekuwa rahisi ww kupata taarifa za simba maana huhusiki kwa lolote na kwa sasa usitemee kupata taarifa za simba kienyeji,it's very proffesional club for nowadays.Kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha clouds fm cha asubuhi hii ya leo, perfect chikwende ameamua kuvunja mkataba na simba na kurejea kwao zimbabwe ambapo kwasasa anafanya mazoezi na klabu ya fc platnum. Simba mbona mnatufivha kwenye hili?
... Apo Simba kapigwa pesa ndefu, Bwanyenye MO atajua Kama hajui.
Kuna sajili kibao za Simba hela imepotea bure
Walimchukua Kwa Sababu Aliwafunga [emoji849][emoji1][emoji1]tamaa mbaya,walimchukua wa Nini Sasa?
Hasa usajili wa simba kwa Nchimbi, Sarpong, Carlinhos, waziri junior.Kuna sajili kibao za Simba hela imepotea bure
Hizi picha Za Nini Sasa??hujui hizo MB 3 ujue Ni nyingi kwetu walala hoi?View attachment 1860720
View attachment 1860721
Yule dogo ni mjanja sana. Hakutaka kugonja ili kipaji chake kuharibike, akaamua kusepa mapema.
na Nchimbi alipokuwa Polisi, aliwafunga Yanga hat-trick hadi uto wakamchukua. Alipokuja uto, hizo goli tatu alizozipiga akiwa Polisi amezipata ndani ya mwaka mzimaWalimchukua Kwa Sababu Aliwafunga [emoji849][emoji1][emoji1]
Uliombwa kuchangia? Haikuhusu.Kuna sajili kibao za Simba hela imepotea bure
Usajili wowote ule ni pata potea mkuu. Unaweza kumsajili mchezaji aliyekufunga au uliyemuona kwenye mechi moja na akawa mzuri kwenye timu yako.Bado mambo ya kiswahili yanadumaza timu za tanzania
Mchezaji anasajiliwa kwa performance ya mechi moja.kisa kafunga goli.
Kwny nafasi ya chikwende palikuwa na wachezaji wengi tu wazuri ambao hawakuwa wakianza first 11.
kahata, bwalya, ajibu, ndemla,nk
Mahitaji ya timu kiufundi hayatazamwi..kuna wakt yanga iliwahi kujikuta ina right beki wanne wenye kiwango kinachofanana.